Weekendi njema wapendwa....!!!

Ab!
asante sana wangu, real huyu madam is a real model. Kusema ukweli NAMPENDA SANA.
Thank you for putting those pic overhere. Wooh! She is absolutely Cute

Ila wangu kwenye hiyo pic ya mwisho naona muheshimiwa (sijui ni Kibaki) anyway huto mwenye phone agigeuka tu anaweza kuwa anaona ikuli ya Obama live bila chenga au ni hii mijicho yangu tu...! Duh!
 
agigeuka tu anaweza kuwa anaona ikuli ya Obama live bila chenga au ni hii mijicho yangu tu...! Duh!

Da wewe nawe yaani katika picha zoote ulichoona ni hiyo engo.
Ila kweli Mzee kibaki aki geuka 120° tuu ikulu hiyo
 

Karibu sana firstcollina...mwenzio nilipoiona hio picha na kumuona 'Mzee Kubaka' anajifanya eti haoni nilicheka kweli.
Mtu mzima anaambiwa katika simu "hebu geuka ubavu wa pili uone ikulu"...kwi kwi kwi!!!... :becky:
 
MMh hiyo PC no 2 mbona km mzee Bill Clinton anaangalia kwa chat hiyo BUM/Bootie ya Michelle? hahaha jamaa Mkware sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…