Weka chochote unachokipenda na kukichukia kwenye Bongo Movie!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wapo wanaoona Bongo Movie wanakosea, wapo wanaoona Bongo Movie wanapatia kwenye kutengeneza kazi zao za sanaa. Weka maoni yako hapa.
 
Ninachopenda hakuna kabisa,Afadhali zamani nilipenda lakini Tasnia imevamiwa na watu wasiobuni vitu vipya,
Unakuta mtu ameact kama kipofu punde tu anasema kua nimeona wajukuu zangu sijui amewaona na nini wakati ni kipofu.
Mtu kasuka nywele za aina moja huku mchezo unaonyesha kazeeka tayari sijui nywele zake hazichakai..
 
Bongo movie kaondoka nayo Kanumba
Only muvi nzuri ni Chausiku
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ni pale watu wanapofungiwa selo alafu kufuli na funguo zake zinaningia mlangoni...


Cc: mahondaw
 
Bajeti ya movie ndio inawaangusha kama wakiwa wanatoa movie zenye hazi Na muonekano kama ile tamthilia ya Siri ya mtungi au movie ya Nairobi half life ...wangekua mbali sanaa
 
Raha ya movie Ni uchanganyaji rangi Na sauti nzuri
 
Jini (shumileta)anataka vuka barabara anaangalia asigongwe..we si jini..
 
1.movie ikianza kidogo tu kama dk.15 unapata concept ya vile itakavyoishia.2.hazina uhalisia 3. Waigizaji wengi hawana vipaji mfano tamthiliya ya siri za familia sifa ya kuigiza mule uwe na matako makubwa.sasa kwa staili hii kweli mnatushawishi vipi kutamani movie za kwetu?angalieni hata mifano kwa nchi za afrika kama nigeria wenzenu wanaangalia watu wenye vipaji na wabunifu ndo wanaigiza hata kama ni washamba washamba na hawana sura wala shepu nzr,sifa kuu kipaji! badilikeni mnaboa sana!!
 
Huo upuuzi wa bongo movie hata sitaki kuusikia
Watu wanawaza ngono tu
Rubbish!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…