Weka neno la kiingereza linalokusumbua kutamka usaidiwe hapa


Mwambie hata kama atakuona mjuaji sasa atakushukuru baadae mueleze, kazidi sasa hadi gossip...how the hell yeye ndio boss[emoji3]

Matamshi ya Carlisle ni —-Kaa-lile, nilidhani
Kaa-lili

ikanibid ni look it up kwahiyo sideserve hiyo prize
 
Mwambie hata kama atakuona mjuaji sasa atakushukuru baadae mueleze, kazidi sasa hadi gossip...how the hell yeye ndio boss[emoji3]

Matamshi ya Carlisle ni —-Kaa-lile, nilidhani
Kaa-lili

ikanibid ni look it up kwahiyo sideserve hiyo prize
Bila ku google mzee hutoboi. Mimi mwenyewe nilisikia kwenye mechi nikajua commentator kakosea
 
Mwambie hata kama atakuona mjuaji sasa atakushukuru baadae mueleze, kazidi sasa hadi gossip...how the hell yeye ndio boss[emoji3]

Matamshi ya Carlisle ni —-Kaa-lile, nilidhani
Kaa-lili

ikanibid ni look it up kwahiyo sideserve hiyo prize
Kaalail
 
Nisaidie matamshi ya “Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis”.
 
Nisaidie matamshi ya “Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis”.

Hili neno nililisikia kwenye kipindi cha Steve Harvey alipomuuliza yule mtoto wa kihindi ku spell aisee mtoto ni akili kubwa
 
Characteristics neno hili nlilijua nikiwa darasa la tstu, wallah nliona dunia yote kama ahera nikaichukia inglish kabisa, na aliyekuwa anafundisha alikuwa head teacher mwanamke alikuwa na mimba ikawa hainipendi mm so kila akiingia laIma nile mboko kwanza kipindi ndo kianze.
And alikuwa best sana na mama yangu na mm nlikuwa napendwa na mama yangu kupitiliza coz ni last born. Urafiki wao ulifia pale.
 
Jiwe na ma phd yake interpreneurship alikuwa hawezi kutamka
Mm mpaka leo deny kuitamka dinai huwa siwezi
 

Hahahahhaa
 
Vocha ipo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…