Weka unaemtafuta yupo wapi ujibiwe, Wangu hawa hapa wako wapi??!

Weka unaemtafuta yupo wapi ujibiwe, Wangu hawa hapa wako wapi??!

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
899
Reaction score
1,231
Anaejua hawa jamaa wako wapi atupe info plus weka unaetaman kujua yuko wapi tukujibuView attachment 565985
images+%281%29.jpg
images+%282%29.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bou Nako si alikuwa Nako2 Nako soldiers?

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Miye nawatafuta classmates wangu tuliomaliza moshi tech 1984 na chuo cha ualimu mkwawa 1987 na wale wa kombania d mafinga jkt operation miaka 20 ya azimio la arusha 1988.
 
namtafuta january ponera nilisima nae kahama,shule ya msingi korogwe 1997 tulikua std 5 mi nikahama
 
bwana wa moshi tech kanikumbusha mbali sana. utadhani alifuatia nyayo zangu, mahala akaenda upande, japo pana gap ya 8yrs. moshi tech 1976, dar tech 1980, op tija mafinga jkt 1980/81 c coy. inafurahisha.
 
bwana wa moshi tech kanikumbusha mbali sana. utadhani alifuatia nyayo zangu, mahala akaenda upande, japo pana gap ya 8yrs. moshi tech 1976, dar tech 1980, op tija mafinga jkt 1980/81 c coy. inafurahisha.

kipindi mnasoma nyie mwalimu mpande alikuwepo mkuu???


mie nilikuwa nakaa azimio dorm 5
 
Mimi namtafuta jamaa fulani anaitwa
Benard james mwanawile
Alikuwa anKaa maeneo ya kimaraa
Ni mrefu na mweuc
MSAADA TAFAZALI
 
Miye nawatafuta classmates wangu tuliomaliza moshi tech 1984 na chuo cha ualimu mkwawa 1987 na wale wa kombania d mafinga jkt operation miaka 20 ya azimio la arusha 1988.
Mhenga mwenzangu
 
Back
Top Bottom