Weka wazi ID ya kike inayokupagawisha hapa JF

yata kua ni matatizo makubwa sana mimi kupagawishwa na ufake wa watu hapa
 
Hivi, mnakua mnapenda jina la mtu, picha ya mtu au uandishi wa mtu??

Maana nikiangalia hapa wote wanatumia fake fake fake.
 
Kanitema. Anasema simjali wakati mimi nampenda balaa. Basi nimeamua nimwache aende..


hahahah !so shost hujui kucare? duh !usiwaze ukute kafaa kifaa kingine ! na ninavyokujua unapenda mazima hehehe !pole !sasa anza upya !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…