hiyo ni ze comedy ya CCM, na hao ni joti na wakuvanga, Mpoki ndio Jaji na masanja mwendesha mashtaka.
ni ya lini iyo picha jamani'mi naijua si ya karibuniWajameni hembu wekeni maneno picha hii, kwa hawa bwana wakubwa mbele na hao wanaoshangaa nyuma yao kama vile wanasema.......
ni ya lini iyo picha jamani'mi naijua si ya karibuni
Salha ushakuwa mkorofi hata huku kwenye uchaguzi?!! nimekuzoea kule kwenye mambo yetu yaleee!! UBWECHE!we bwanashamba nenda shambani kalime maana hujui hata kinachoendela huku