Watumishi wa nini?fafanua btw wikend Ina tafsir tofauti kwa kila mtuMko gOod
Ivii mtu kabisa unatoka leo unasema unaenda club au bar unasema ni wekeend sio sawa
Wekeend kwa kawaida ina anzia juma tatu mpaka alhamis ijumaa tuwa achie watumishi ni zamu yao
Ok ila sio wote wanatoka out wikend,vile salary haikutan,ngoja nimwite mpwayungu village aje atupe maoni yake πWa serikali na sekta binafsi
Vijana wa hovyo kabisa.Mko good?
Hivi mtu kabisa unatoka leo unasema unaenda club au bar unasema ni wekeend sio sawa?
Wekeend kwa kawaida ina anzia juma tatu mpaka alhamis ijumaa tuwaachie watumishi ni zamu yao!
Ww unatoka liniOk ila sio wote wanatoka out wikend,vile salary haikutan,ngoja nimwite mpwayungu village aje atupe maoni yake π
Mara kwa Mara π hapa yenyewe Niko oxygen lounge mboka moja hiyo,najilia mziki mwororoWw unatoka lini
Usidanganyike ivyo wapo vijana ambao wanapata pesa kwa wazazi wao na wengine wanaibaVijana wa hovyo kabisa.
Hapa ndipo nnapomkumbuka magufuli sababu hadi vibanda vya pool table vilifunga watu wapige kazi.
Nliona clip fln madogo wa kiume (probably mabwabwa sababu wamejipodoa kama dada zao) walikua wanajisifia eti "Hatuna kazi lkn tunakula bata wiki nzimq" sasa kama hawapakuliwi ni nini?
Ya mboka ya manyema ,hukujui mboka mzeiya?π π π Tabora hiyoYa magomeni mtwara siyo ππ
Walimu hata wikiendi wao ni dhiki tuOk ila sio wote wanatoka out wikend,vile salary haikutan,ngoja nimwite mpwayungu village aje atupe maoni yake [emoji28]
Sema pamepooza sioni watu dance floor sijui wanasubiri mida mibovu mweh,Kumbe nikajua ya mtwara