Wekeni viti vya kutosha kwenye kituo cha mwendokasi cha Fire!

Wekeni viti vya kutosha kwenye kituo cha mwendokasi cha Fire!

Tumbili wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
1,125
Reaction score
2,233
Pale kituo cha mwendokasi cha Fire kuna wagonjwa wanaoenda Hospital ya Muhimbili wanasubiri mabasi ya muhimbili, sasa natoa wito kwa serikali kuongeza viti vya kutosha kwenye kituo ili wagonjwa waweze kukaa na kusubir magari.

Kama tunavyojua magari yanachelewa kufika na mgonjwa hawezi kusimama robo saa kusubiri gari.
 
Back
Top Bottom