Wekeza katika elimu hapa ung'ae kimataifa

CHUO CHA UFUNDI JITA

Senior Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
116
Reaction score
23
Habari zenu wakuu;
Katika harakati zetu za kuinua vipaji mbalimbali tumekutana na kipaji cha mtu anayeandika vitabu mbalimbali na kwa kiasi kikubwa vimekubalika katika jamii ila changamoto ni kama ifuatavyo;


> wanahitajika sponsors wa kufadhili kazi.

> Anahitajika Publisher.

> Wanahitajika distributors popote Tanzania na nje ya nchi.

KUHUSU KITABU HIKI
Kutokana na lugha ya kiingereza kuonekana kuwa ngumu kwa watanzania walio wengi licha ya kuwa ndiyo lugha ya mawasilano katika maeneo mengi hapa nchini, nimegundua kuwa "yawezekana kitu kigumu kikawa kimetumika kuelezea kitu kigumu" Ili kila mtu ajue misingi ya kiingereza, kitabu hiki kinaelezea kwa lugha yako ili kukurahisishia uweze kuelewa na kugundua siri ya lugha hii ambayo haikwepeki.
KUHUSU KITABU HIKI
Haijalishi umepita wapi, angalia ulikofika na unakoelekea, siku zote usiangalie vikwazo bali angalia njia za kutoa vikwazo hivyo. Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na milima, mito na majangwa, mvua na jua… usitegemee kuishi maisha ya raha kama hujafanya maandalizi mapema. Kitabu hiki kinakupa mwongozo wa jinsi ya kujiandaa kuishi maisha unayoyatamani baada ya mahangaiko mengi. Kisome kwa makini ujue siri nyingi ulizonazo na hukujua kama unazo.
KUHUSU KITABU HIKI
Mshukuru Mungu kwa jinsi ulivyoumbwa kwani si kwa bahati mbaya bali Mwenyezi Mungu ana mpango na wewe na kuna uwezo wa kipekee aliokupatia japo hutaki kuujua. Wengi tumekuwa tukimlaumu Mwenyezi Mungu kuwa ametuumba tukiwa maskini na kusahau kuwa alituumba kwa mfano wake. Je, yeye ni maskini? Kitabu hiki kinaelezea kwa kina mtazamo wa Mungu juu ya umaskini. Wengi tumekuwa tukisema waafrika ni maskini, Je, umaskini wetu ni laana? Soma kitabu hiki kikupe majibu yote na njia za kuweza kupigana na umaskini wetu uliokithiri.
KUHUSU KITABU HIKI Kutokana na lugha ya kiingereza kuonekana kuwa ngumu kwa watanzania walio wengi licha ya kuwa ndiyo lugha ya mawasilano katika maeneo mengi hapa nchini, nimegundua kuwa "yawezekana kitu kigumu kikawa kimetumika kuelezea kitu kigumu" Ili kila mtu ajue misingi ya kiingereza, kitabu hiki kinaelezea kwa lugha yako ili kukurahisishia uweze kuelewa na kugundua siri ya lugha hii ambayo haikwepeki.




Kama umependa kufadhili kitabu chochote hapo juu au kusaidia kwa namna moja au nyingine, fanya mawasiliano kwa kutumia mawasiliano ya hapo chini.


Piakama una kazi yoyote ya uandishi kama maandalizi ya uchaguzi mkuu na kampeni au shughuli yoyote ya kimaandishi hasa vitabu, fanya mawasiliano kwa namba;
+255 752 698 691 au +255 658 698 691
jaymuta@gmail.com
 

Swali.
Je ulisha vipeleka kwa mhariri (editor)?
Onyo.
Waandishi wengi hawajui umuhimu wa ma~editor na kazi zao.Matokeo yake huandika vitabu vyenye makosa mengi na sumu kali ambayo ikienda kwa mlaji(msomaji au mwanafunzi) hurithisha sumu hiyo kwa wengine na kuzalisha kizazi cha mbumbumbu.

Ushauri wa bure.
Mtafute mhariri afanye hiyo kazi km unataka kutoa kazi iliyo bora.Japo kuna gharama kidogo ila ni vizuri.Ukikosa ni PM tuone namna ya kusaidia ktk hilo. Toa Vitabu vilivyo bora siyo bora vitabu.Aksante.
 

Ahsante mkuu, ameshavipitia EDITOR........thanx sana kwa ushauri wako wa bure....nitakutafuta ili kuzidi kutoa vitabu vilivyo bora zaidi.
 

awaone DUP ghrama zao ndogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…