Wekeza kesho yako iwe Njema Kwa Mola wako

Wekeza kesho yako iwe Njema Kwa Mola wako

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Ndugu zangu kama heading inavyojieleza.

Kuna ndugu yetu katika Imani yeye ni hafidh WA Qur'an na yupo huko Magore jijini Dar es Salaam,ana madrassa anafundisha vijana wetu.

Lengo lake kubwa ni kujiendeleza kielimu ili walau afikie ngazi Fulani,mara ya Kwanza alipokuja dar kutoka kwao mkoani aliahidiwa na wenyeji wake kuwa mambo yatakuwa mazuri na malengo yake yangefanikiwa. Lakini Kwa masikitiko makubwa kituo alichofikia kimeshindwa kutimiza matarajio yake.

Hivyo hata kuishi kwake ni Kwa shida Sana na hata Kula yake ni mtihani Sana,lakini pamoja na yote hayo anaendelea kulea vijana na kuwafundisha na kumjua Mola wao.

Nimefahamiana nae kupitia jamaa yangu mmoja. Anahitaji msaada wa mtu ambaye atamfadhili aweze kutimiza ndoto zake za elimu ya Dini.

Hakika ukiwekeza katika elimu yake basi hakika umewekeza sadaka ya kuendelea na utaendelea kuchuma hata pale utakapo kuwa umeondoka duniani.


Nilishauriana nae juu ya kuandika ishu yake hapa nae akaridhia,kwahiyo yoyote ambaye anaweza kuguswa na swala hili inshallah nitampa namba yake pm awasiliane nae mwenyewe.

shukrani
 
Ndugu zangu kama heading inavyojieleza.

Kuna ndugu yetu katika Imani yeye ni hafidh WA Qur'an na yupo huko Magore jijini Dar es Salaam,ana madrassa anafundisha vijana wetu.

Lengo lake kubwa ni kujiendeleza kielimu ili walau afikie ngazi Fulani,mara ya Kwanza alipokuja dar kutoka kwao mkoani aliahidiwa na wenyeji wake kuwa mambo yatakuwa mazuri na malengo yake yangefanikiwa. Lakini Kwa masikitiko makubwa kituo alichofikia kimeshindwa kutimiza matarajio yake.

Hivyo hata kuishi kwake ni Kwa shida Sana na hata Kula yake ni mtihani Sana,lakini pamoja na yote hayo anaendelea kulea vijana na kuwafundisha na kumjua Mola wao.

Nimefahamiana nae kupitia jamaa yangu mmoja. Anahitaji msaada wa mtu ambaye atamfadhili aweze kutimiza ndoto zake za elimu ya Dini.

Hakika ukiwekeza katika elimu yake basi hakika umewekeza sadaka ya kuendelea na utaendelea kuchuma hata pale utakapo kuwa umeondoka duniani.


Nilishauriana nae juu ya kuandika ishu yake hapa nae akaridhia,kwahiyo yoyote ambaye anaweza kuguswa na swala hili inshallah nitampa namba yake pm awasiliane nae mwenyewe.

shukrani
Salaam aleykum .
Sheikh ni vipi anaweza fikiwa ? Nikimaanisha mtu akijaaliwa chochote je akiwasilishe wapi ?

Wabillah Taufiq.[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam aleykum .
Sheikh ni vipi anaweza fikiwa ? Nikimaanisha mtu akijaaliwa chochote je akiwasilishe wapi ?

Wabillah Taufiq.[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Waalaykum salaam warhamatullah wabarakatuh

Huyu unaweza kumfikia Kwa njia mbili
Nakupatia namba yake muwasiliane moja Kwa moja na baada ya kuwasiliana nae mtu akitaka kujiridhisha anaweza kwenda kumtembelea kituoni kwake au akiridhika kumtumia yote ni kheri Tu
 
Waalaykum salaam warhamatullah wabarakatuh

Huyu unaweza kumfikia Kwa njia mbili
Nakupatia namba yake muwasiliane moja Kwa moja na baada ya kuwasiliana nae mtu akitaka kujiridhisha anaweza kwenda kumtembelea kituoni kwake au akiridhika kumtumia yote ni kheri Tu
Insh'Allah sheikh nimekuelewa vyema nitakutafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom