Anahitajika muwekezaji kampuni au mtu binafsi atakayeweza kununua shamba la ukubwa wa heka 500 lililopo mkoani morogoro , shamba limepimwa na lina hati, unaweza kutumia kwa matumizi mbali mbali kulingana na mahitai yako : maji yanapatikana pia umeme hauko mbali .
tunaweza kuwasiliana kwa maelezo zaidi
Tom Real Estate Agents
+255 685 31 23 26
Dar - Es - Salaam.
mambo za kununua hekari 500 sirudii tena. tulikodisha hekari 500 na mzungu mmoja. kuna siku tulikimbizwa kwa mapanga na wanakijiji eti tumevamia sehemu.
tutajie moro sehemu gani ili tufanye utafiti. maana wanakijiji wana hasira