Wekundu wa Msimbazi wamekuwa wapole mno mtaani

Wekundu wa Msimbazi wamekuwa wapole mno mtaani

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Tokea tetesi za usajili zimeanza na hali ilivyoendelea hadi jana mtaani hawa jamaa zetu wamekuwa wapole kuliko kawaida hata zile jersey zao wamepunguza kuzitinga hii ni kwa utafiti mdogo ulofanyika.

Mbaya zaidi ni baada ya juzi wachezaji wao wawili wawategemeao saaana kuthibitika kuondoka ndio kabisaaaa wamelainika vibaya... wakiiagalia line up ya wananchi msimu ujao wanaishia kusononeka na kutishika mno.

Poleni sana jamani ndio ukubwa huo. Tuvumiliane tu.
 
Simba vs As Vita wamekutana makundi Mara nne hivi karibuni.

Vita kashinda mechi moja. Point 3

Simba kashinda mechi 3. Point 9.

Mara zote mbili simba alifuzu, AS Vita akashindwa.

Wale wachezaji wa Vita wamekutana kwa Mzee Mpili.

Tusubiri tuone labda watapindua meza
 
Angalia hii picha uniambie ni msimu gani ambao utopolo hawajawai kuasajili kwa makelele? kwanza niwaulize mbona msimu huu hamjaenda airport kupokea mitambo ya magoli?
Huo msimu wa kina sibomana hatukukaa kwa makelele huyoBalinya alikuwa anapigiwa kelele hadi kero, huo mweingien kina sarpong na Fiston ikawa kero unadhani nini kipya yaani simba ya 12 kwa ubora afrika inafikiria level nyingine siyo ujingaujinga wenu


tofalii.jpeg
 
Hawa wachezaji wa Vita ambao wapo Yanga haaafiki hata robo ya Vita ,usiwape hadhi hata kidogo ,tutawanyamazisha soon hao yanga
Umeshindwa kuifunga Yanga ya wakina Waziri Junior utaweza kuifunga Yanga ya wakina Aucho n.k . Jiandae kisaikolojia siku hizi tunakula Nyama pori mpaka mfupa
 
Umeshindwa kuifunga Yanga ya wakina Waziri Junior utaweza kuifunga Yanga ya wakina Aucho n.k . Jiandae kisaikolojia siku hizi tunakula Nyama pori mpaka mfupa
CAf wakiwa wanatoa ile list yao ya team bora afrika huwa mnalalamika sana kumbe majinga yanawaza msimu mzima jinsi ya kuifunga simba tu, huo usajili wa kina wazir jr si ndo mwaka jana airport ilikuwa busy kwa vurugu za kubebabana kwenye machela?
 
Tokea tetesi za usajili zimeanza na hali ilivyoendelea hadi jana mtaani hawa jamaa zetu wamekuwa wapole kuliko kawaida hata zile jearsey zao wamepunguza kuzitinga hii ni kwa utafiti mdogo ulofanyika...
Mbona tushawazoea na heka heka zenu za kwenda Airport kumbeba msomali juu juu kama Watumwa.Subiri ligi ianze sasa,lawama zote atabebeshwa Karia na TFF[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Angalia hii picha uniambie ni msimu gani ambao utopolo hawajawai kuasajili kwa makelele? kwanza niwaulize mbona msimu huu hamjaenda airport kupokea mitambo ya magoli?
Huo msimu wa kina sibomana hatukukaa kwa makelele huyoBalinya alikuwa anapigiwa kelele hadi kero, huo mweingien kina sarpong na Fiston ikawa kero unadhani nini kipya yaani simba ya 12 kwa ubora afrika inafikiria level nyingine siyo ujingaujinga wenu


View attachment 1895129
Wewe nimeshakugundua! Ukileta tu fyoko fyoko, namuita Maulid Kitenge, Mtangazaji Mahiri na Mchambuzi bora kabisa wa kandanda Barani Afrika na Duniani kwa ujumla, ili akushughulikie kwa uzuri.
 
Wewe umewahi waona simba wana kelele? Simba miaka yote wao wanatenda ... Si umeona makombe yote yamebebwa msimu huu yale ya maana? Uliwaona wakibeba au wakipokea wachezaji kwa mbwembwe? Simba mwenda pole ndiye mla nyama....nyie yanga endeleeni na kawaida yenu....debe tupu haliachi kutika 😁😁😁😁😁

Tokea tetesi za usajili zimeanza na hali ilivyoendelea hadi jana mtaani hawa jamaa zetu wamekuwa wapole kuliko kawaida hata zile jearsey zao wamepunguza kuzitinga hii ni kwa utafiti mdogo ulofanyika

Mbaya zaidi ni baada ya juzi wachezaji wao wawili wawategemeao saaana kuthibitika kuondoka ndio kabisaaaa wamelainika vibaya... wakiiagalia line up ya wananchi msimu ujao wanaishia kusononeka na kutishika mno

Poleni sana jamani ndio ukubwa huo. Tuvumiliane tu.
 
OYAA WAKUU..VIPI ILE KESI YA MORRISON KULEEE..SI WALISEMA MAAMUZI NI TAR 14 AUGUST??
 
OYAA WAKUU..VIPI ILE KESI YA MORRISON KULEEE..SI WALISEMA MAAMUZI NI TAR 14 AUGUST??
Imesogezwa mbele hadi tarehe 25 September.
Siku ya mechi ya ngao ya jamii ili asicheze bali asikilize kesi yake
 
Umeshindwa kuifunga Yanga ya wakina Waziri Junior utaweza kuifunga Yanga ya wakina Aucho n.k . Jiandae kisaikolojia siku hizi tunakula Nyama pori mpaka mfupa
We acha tu, Utopolo walikuwa na hakina Sarpong lakini walituenyesha sasa sijui itakuwaje!

Na maduka yetu mmeyafurumisha hapo Utopolo
 
Back
Top Bottom