Welcome Aboard to JF Flight

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.

salamu nyingi ziwafikie popote mlipo

Hi! JamiiForums

My name is John Kitabi, i'm mechanical engineer by professional, i wanted to say hallow to all members of JF and lets exchange ideas for better future

Habari wana jamiiforums?

Naitwa Allen Shembilu na nipo Dar, na ninafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum hii.

Naamini mmenipokea na naahidi ushirikiano ndugu wana jamiiforums.



Nabisha hodi na nawapa heshima zenu Mabibi na Mabwana wa jamii forum. Napenda kujitambulisha kwenu kama MADENGE. Natumai tutazidi kuwa wote humu mtandaoni. ASANTENI

Hodi wanaJF naomba ukaribisho.




"Welcome aboard to JF Flight... Kijiwe cha Umbea, Fitna, Majungu, Udini, Ufisadi... na kila aina Ya Uzandiki... kuelekea kwenye kila aina ya selfishness.

To participant..., insert any rubish from your brain... Na kuwa tayari kuutetea for any cost... JF... works just like any other Vijiwe vya mitaani...... Kila mtu anajuwa too much... and many member watakuunga mkono na wapo watakuzodoa... if you don't know how to do that... just read as many thread as you can... specially DINI na SIASA na bila kusahau Celebrities Forum... Habari/Hoja mchanganyiko... n.k.

In the event of a sudden attacked by any memberz. Stop screaming to Moderatorz, just swearing a lot... and grab the keyboard, and pull it over your face. If you have a wife and she asked for your help or assistance... Finish marumbano before... assisting her... otherwise she may become your keyboard...! Just write as many utumbo... as you can... you can even use Hoja za nguvu... na ushahidi wa kupandikiza...!

If you are at work... and your boss asked you about kiporo cha kazi ulichokiwacha tangia weekend ya juzi... you have to decide... which one you love more... Job or Jambo... ooops... Jamii... I mean JF...!

After few weeks zijazo utabiri unaonyesha kuwa.... mtakuwa amongs of addicted with JF kama jamaa zangu fulani na fulani hapa...

JF Hakuna Kushindwa ni Kijiwe a.k.a kibanda cha grit sinkerz

Welcome Aboard"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…