Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ukweli uliowekwa wazi na mgombea umakamu uenyekiti wa Chadema Taifa Ezekia Wenje, umebadili uelekeo na kuweka sawa uoptoshaji na unafiki wa kiwango cha juu sana, ambao umekua ukisemwa na kusambazwa kwa makusudi na Lema na Heche dhidi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa, kuhusu mambo mbalimbali ndani ya chadema.
Ezekia Wenje ameeleza umma na wanachadema ukweli mtupu, dhidi ya uzushi, uongo na uovu wa akina Lema, na kueleza kwa usahihi sababu za chuki, hasira na uhasama walionao dhidi ya chairman Mbowe.
Ni wazi,
Ezekia Wenje amenyoosha na kusafisha njia vizuri, kwa mwamba wa kaskazini, statesman Freeman Aikaeli Mbowe kuchaguliwa na kushinda kwa urahisi sana uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema Taifa.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa waliokua wamepotoshwa awali hivi sasa, Wenje amewaondoa kwenye sintofahamu na sasa wameungana na wenyeviti wao wa kanda, mikoa na wilaya na kujipanga vizuri kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.
Wale viongozi wa chadema walioshindwa kupata nafasi uongozi kwenye uchaguzi, ambao sio wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa hasira za kushindwa uchaguzi, ndio wakaamua kumuunga mkono kibaraka wa mabwenyenye ya Magharibi. Na kwa hali halisi ilivyo, wamekata tamaa kabisa.🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Ezekia Wenje ameeleza umma na wanachadema ukweli mtupu, dhidi ya uzushi, uongo na uovu wa akina Lema, na kueleza kwa usahihi sababu za chuki, hasira na uhasama walionao dhidi ya chairman Mbowe.
Ni wazi,
Ezekia Wenje amenyoosha na kusafisha njia vizuri, kwa mwamba wa kaskazini, statesman Freeman Aikaeli Mbowe kuchaguliwa na kushinda kwa urahisi sana uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema Taifa.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa waliokua wamepotoshwa awali hivi sasa, Wenje amewaondoa kwenye sintofahamu na sasa wameungana na wenyeviti wao wa kanda, mikoa na wilaya na kujipanga vizuri kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.
Wale viongozi wa chadema walioshindwa kupata nafasi uongozi kwenye uchaguzi, ambao sio wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa hasira za kushindwa uchaguzi, ndio wakaamua kumuunga mkono kibaraka wa mabwenyenye ya Magharibi. Na kwa hali halisi ilivyo, wamekata tamaa kabisa.🐒
Mungu Ibarki Tanzania