ndio umefukua kaburidaah dunia hadaaa ulimwengu shujaaa....ila wellu si bora hata angezaa na mond tungemwona mjanja!achaaa
Sio mtambalike?Kumbe mtoto wa steve aisee
Sio mtambalike?
Niliona kama shilawadu walimhoji kasema sio wa steve[emoji3] [emoji3] huyu welu huyu..sema ndo ivo wasanii wa bongo movie wamebaki kiki tu hivi wanatoaga movie siku hizi?Mwenyewe kasema wa steve. Wasanii bana wana makubwa,mtoto wa uwoya kafanana na wa dude
Niliona kama shilawadu walimhoji kasema sio wa steve[emoji3] [emoji3] huyu welu huyu..sema ndo ivo wasanii wa bongo movie wamebaki kiki tu hivi wanatoaga movie siku hizi?
Umemwona Richie kwa pembeni apo[emoji3] [emoji3]View attachment 786234
Steve mwenye busy kutoa povu
Wanatoa ila sasa hata sijui zinaishia wapi maana mtaani zimejaa za kikorea na kihindi za kutosha
Mbona kamkana peupeeacheni kumsema mke mpya wa steve nyerere
Umemwona Richie kwa pembeni apo[emoji3] [emoji3]
Yule mkuu wa mkoa mteule ai alisema sijui angelipiga marufuku filamu za nje? Kazi ya sitivu ni nini?
Na kutafuna rambi rambi[emoji3]Yaan watu washaunganisha mtoto kopirait kabisaa
Kukataza vikorea ni sawa na kukataza mchezo wa kubet kwa wapenzi wa mpira. Stivu kazi yake ukuwadi tu
Ngoja niwahi insta nikikosa nawahi google nami nijioneee maajabu ya molaBinamu kwa lile zigo pale kati, atamimbwa sana tuu...
tuwekee na kapicha kake ka hilo zigo na sie wengne tumjue mkuuBinamu kwa lile zigo pale kati, atamimbwa sana tuu...
PoleBinti kuzaa na Mume wa Mtu - Haimake sense kabisaa why why why ???