Mkare_wenu JF-Expert Member Joined Mar 11, 2011 Posts 1,714 Reaction score 448 Mar 5, 2012 #41 shopping hatimaye imemuumbua,kumbe pedeshee(mume wa mtu) ndo kamchomolea huo mpunga kwny account yake.Hatimaye mke wa pedeshee kamcharukia wema
shopping hatimaye imemuumbua,kumbe pedeshee(mume wa mtu) ndo kamchomolea huo mpunga kwny account yake.Hatimaye mke wa pedeshee kamcharukia wema
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Mar 5, 2012 #42 kweli wema fungu la kukosa.... $40,000 angejenga kibanda kimgemsaidia kukiko kupewa gari ya 'familia' sasa kimemnukia
kweli wema fungu la kukosa.... $40,000 angejenga kibanda kimgemsaidia kukiko kupewa gari ya 'familia' sasa kimemnukia
Sumba-Wanga JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 5,353 Reaction score 1,234 Mar 9, 2012 #43 Kokwa kavu said: Dah hlo jimbuz alilopata linamwaga hela source sintah blog Click to expand... Tamaa za kipumbavu na u....... vimemtokea puani. Mke wapedejee angekakaba na kukatoa roho kabisa.:cool2:
Kokwa kavu said: Dah hlo jimbuz alilopata linamwaga hela source sintah blog Click to expand... Tamaa za kipumbavu na u....... vimemtokea puani. Mke wapedejee angekakaba na kukatoa roho kabisa.:cool2:
Sumba-Wanga JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 5,353 Reaction score 1,234 Mar 9, 2012 #44 BADILI TABIA said: kweli wema fungu la kukosa.... $40,000 angejenga kibanda kimgemsaidia kukiko kupewa gari ya 'familia' sasa kimemnukia Click to expand... YAah kwa pesa hiyo angeporomosha kitu cha kufanana na cha dada Mwami. (Shikamoo Mwamvita)
BADILI TABIA said: kweli wema fungu la kukosa.... $40,000 angejenga kibanda kimgemsaidia kukiko kupewa gari ya 'familia' sasa kimemnukia Click to expand... YAah kwa pesa hiyo angeporomosha kitu cha kufanana na cha dada Mwami. (Shikamoo Mwamvita)
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,856 Mar 9, 2012 #45 Okada said: YAah kwa pesa hiyo angeporomosha kitu cha kufanana na cha dada Mwami. (Shikamoo Mwamvita) Click to expand... Mbona mwadanganya watu?
Okada said: YAah kwa pesa hiyo angeporomosha kitu cha kufanana na cha dada Mwami. (Shikamoo Mwamvita) Click to expand... Mbona mwadanganya watu?