Wema afungukia ugomvi wake na Aunty Ezekiel

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa mara na shosti wake ambaye pia ni muigizaji, Aunt Ezekiel usiingiliwe na mtu kwani wanapogombana tofauti zao wanazimaliza wenyewe na si mtu mwingine yeyote.

Wema Sepetu

Akizungumza na Amani Wema alisema kuwa, yeye na Aunt ni watu waliopo karibu sana na wanaopendana hivyo inapotokea wanagombana huwa ni kitu kidogo kwao kwani huyamaliza na maisha yanaendelea kama kawaida.

“Jamani nyinyi mtuache tu, tunatibuana na Aunt, tunajuana vizuri sana ugomvi wetu ni wa mara kwa mara lakini tunamalizana wenyewe kwa sababu ukweli ni kwamba hatuwezi kukaa mbalimbali kwa muda mrefu kutokana na kupendana,” alisema Wema.
 
.....akizungumza na Amani....natumai hili ni moja ya Magazeti ya udaku, na ndio Wema ndio anawaambiwa msiwe mnawaingilia....sasa sijui kwa nini mnataka kujumuisha watu wengine.
 
Huyu nae lazima ajitoe tu hata iweje, natumaini anaingiza pesa benki siku hizi.

Anatamani kuwa karibu na ile familia...ooooh
 


Tatizo la Wema anapenda kubebesha watu (marafiki zake) mikoba na mizigo hata kama ni wajawazito ili tu kuwakomoa. Aunt hawezi sahahu jinsi alivyobebeshwa lumbesa na Wema kipindi yuko mjauzito, asingekuwa muangalifu ile mimba ingemchoropoka.
 
Tatizo la Wema anapenda kubebesha watu (marafiki zake) mikoba na mizigo hata kama ni wajawazito ili tu kuwakomoa. Aunt hawezi sahahu jinsi alivyobebeshwa lumbesa na Wema kipindi yuko mjauzito, asingekuwa muangalifu ile mimba ingemchoropoka.
Uwiiii umenichekesha mkuu mpaka basi
 
Kiki zimetukinai..
Hivi Hutu binti Wema amewahi kufundwa? Hana kabisa hisia Za kitu kinaitwa kujiheshimu, nafikiri ni family and generational curses maana niliwahi kumsikia mama Yake nikaelewa, hakuna malezi hakuna future, amezeeka na umbea Na umalaya a mwache auntie kaolewa Ana mtoto an familiar sio size Yake Tena auntie awe Muangalifu maana Huyu sick baby ni kicheche asije angamiza familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…