1000 words
Senior Member
- Dec 29, 2012
- 169
- 32
hayaaaa wema sepetu aamua kuja kvngne 4 da 1st tym baada ya kua star ameamua kunyoa nywele nw n mwendo wa para 2
Source:Bongo5 | The Hottest Blogs, News and Videos
atajiju
Huyu demu bana hana uzuri wowote.
Bichwa baya, na hata Sura sio kabisa. Ukichanganya na tabia yake mbaya ndo sielewi kabisa kabisa anachopendewa na Wanaume!!
Ustaa nao ni kama ulimbo,
Kachoka sio utaniMbona usoni anaonekana kama mtu aliyechoka sana.