brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Staa wa bongo muvi Tanzania beautiful onyinye Wema Isaac Sepetu amemkumbuka ex wake ambaye ni model mtanashati Luis Munana
Wema aliandika maneno kuashiria amelikumbuka penzi lake na Luis na kutupia picha waliyopiga pamoja .
Hata hivyo watu wengi wametafsiri ujumbe huo ni dongo kwa Idriss Sultan ambaye kwa sasa wameachana naye na kila mmoja ana hamsini zake
Wema aliandika maneno kuashiria amelikumbuka penzi lake na Luis na kutupia picha waliyopiga pamoja .
Hata hivyo watu wengi wametafsiri ujumbe huo ni dongo kwa Idriss Sultan ambaye kwa sasa wameachana naye na kila mmoja ana hamsini zake