sweetie stone
JF-Expert Member
- Apr 12, 2014
- 417
- 95
Hiv Wema kila siku anamiaka 25???hakui??
Jamani hata mm nawashangaa hawa mapaparazi na kajala mbona hawajaweka umri? He heee
Uzee wote huo still yuko 25 kweli anatumia Ethiopian Callendar
Shost umeongea kwel..kwann kajala hawajamwanika umr wake?Wema anapenda promo
Na ndio maana alisenekana ndio miss mdogo kuliko wote kama sikosei
K inamuweka mjinii mwenzetu
Na kwahyo aligombea u miss under 18 si hairuhusiwi kweli miaka inarudi nyuma
Hv ile nyumba alopangishiwa na huyo CK huyu newspaper qeen ameshaondka maana nlickia mkataba ulikwsha mwez june
Hiv Wema kila siku anamiaka 25???hakui??
yule ni a special specie sio kama sisi hata kinyesi chake hakinuki..na miaka yake ni 25 na sometimes ina ji adjust hadi 22Asante umenisaidia kuuliza
Na kwahyo aligombea u miss under 18 si hairuhusiwi kweli miaka inarudi nyuma
Kajala ana biashara gani mjini hapa ya kumuingizia pesa?
K inamuweka mjinii mwenzetu
Hiv Wema kila siku anamiaka 25???hakui??
Wema alidanganya umri alivyogombea miss Tz,alikuwa na 16 kama sikosei
Wanamgombea aunty Ezekiel teh teh teh...