Wema anyang'anywa kila kitu, kisa kurudiana na diamond

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,603
Reaction score
3,658
ZILE tambo, mbwembwe na majigambo ya Miss Tanzania 2006/07, aliye pia msanii wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu, zimefika mwisho kufuatia kunyang'anywa samani za ofisi yake ya Endless Fame Film Production na aliyekuwa mpenzi wake, Clement ‘kigogo wa ikulu' na sasa amebaki mweupe, Amani limepakuliwa ikiwa imeiva.
ZAIDI BOFYA HAPA:WEMA ANYANG'ANYWA KILA KITU, KISA KURUDIANA NA DIAMOND - Global Publishers

 
Yupo atakayejilesi kumpa zaidi ya zile
 
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia.

Kama Wema ana lawyer , huyo jamaa anaweza kuishia kubaya

Huwezi mnunulia mpenzi wako kitu halafu uende kumnyanganya, kinachotakiwa ni kusahau tu.

Imagine mwanao au dada yako anafanyiwa hivyo utajisikiaje?
 
Yesuuu Clement kapime monomaooo uwiiii uwiii ngifilaaaaanulakiri

CLEMENT APAWOMIII
 
kwani vitu na nyumba ana miliki kuwa pesa yake ....au?
 

lini udaku ukaja hapa JF acha kufatilia maisha ya watu ukiona unafatilia maisha ya watu ujue kuna majukumu ya kwako hutimizi
 
Wanawake wengi ni wapumbavu. Huwa wanaona ni haki kwao kusaidiwa na mpenzi wake and still afanye mambo mengine ya hovyo na aachwe tu. Mm Sasa hivi demu nikimsupport kwenye life lazima ashow respect ya kutosha la sivyo ninarevenge. Kama ni mgono wote tunapata starehe, tena inadaiwa wao wana starehe kuliko hata sisi.
 
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia.

Kama Wema ana lawyer , huyo jamaa anaweza kuishia kubaya

Huwezi mnunulia mpenzi wako kitu halafu uende kumnyanganya, kinachotakiwa ni kusahau tu.

Imagine mwanao au dada yako anafanyiwa hivyo utajisikiaje?

Unajua makubaliano yalikuwaje????!!!
Unajua receipts zina jina la nani???!!!
Lawyer afanye nini kama hayo hapo juu jamaa aliyaona kabla???!!!!!

Ananunuliwa bila shida na kama kulikuwa na makubaliano akikiuka analambwa mkono tu kitaa inaitwa "kutapisha"!!!!
 
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia.

Kama Wema ana lawyer , huyo jamaa anaweza kuishia kubaya

Huwezi mnunulia mpenzi wako kitu halafu uende kumnyanganya, kinachotakiwa ni kusahau tu.

Imagine mwanao au dada yako anafanyiwa hivyo utajisikiaje?
vitu vya haramu havina sheria na hata ukivimiliki kwa sheria havidumu lielewe hilo
 
hahaha niliwahi kubashiri hili kuja kutokea siku moja.ni mwaka juzi ilipokuja thread ya kutafuta wafanyakazi wa endless fame.
 
lini udaku ukaja hapa JF acha kufatilia maisha ya watu ukiona unafatilia maisha ya watu ujue kuna majukumu ya kwako hutimizi

Inategemea uelewa wako na perspective unayotumia kunyumbulisha matukio!!!

Hapo kuna issue ya Gender and property regarding control,access,ownership and benefit ambayo ni debate kubwa sana mpaka kwenye mirathi na talaka; wengine majukumu yao/yetu yanatimia kwa kufuatilia maisha ya watu kujifunza kwayo, kulinganisha na matukio mengine katika jamii hii na nyingine zinazofanana na zinazotofautiana kiuchumi, kisiasa, kisera na kiutamaduni pia na kisha kuelewesha wengine yaliyo sahihi kwa tukio hilo!!!!!!

Amka sasa na ufumbue jicho la tatu na sixth sense dunia inakimbia hii acha maneno as if dunia ni kisahani!!!!!
 
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia.

Kama Wema ana lawyer , huyo jamaa anaweza kuishia kubaya

Huwezi mnunulia mpenzi wako kitu halafu uende kumnyanganya, kinachotakiwa ni kusahau tu.

Imagine mwanao au dada yako anafanyiwa hivyo utajisikiaje?

Akuna lolote..angekua mke wa ndoa sawa ila kwa dzaini hzo watanyanganywa sana awa masuperstaa wenu, mpka waje kujitambua...badae sana
 
Wema amesema baby yake(diamond). atamnunulia baada ya wiki mbili.
 
pole yake jamani Wanawake Tuamke tuache utegemezi pesa ya Mwanaume iwe ya ziada tu tafuta yako Mwenyewe Khaa.
 
Jamani mbona hawa watu (Diamond & Wema) kila siku habari zao zinajaa magazetini! Ebu ujadilini habari nyingine, achana na watu hawa, hana lakumfanya mtu ajifunze toka kwake. Shiit...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…