Wema anyang'anywa kila kitu, kisa kurudiana na diamond

Clement ni nani?anajua kuhonga aisee
 
Bora clement arudi kwa mkewe matha khu nae hajatulia huyu jamaa kuona dermu anajina kamrukia baba sio kila king'aacho ni dhahabu.
 
Alafu aliewaambia huyu clement ni kigogo wa ikulu nani? Au ndio mnauliza kijanja mpate habari zake?
 
Bora clement arudi kwa mkewe matha khu nae hajatulia huyu jamaa kuona dermu anajina kamrukia baba sio kila king'aacho ni dhahabu.

Alafu aliewaambia huyu clement ni kigogo wa ikulu nani? Au ndio mnauliza kijanja mpate habari zake?

Kweli ni mfanyakazi wa ikulu na hiyo kazi alimtafutiaga wife wake ambaye na yeye yupo stable kwenye suala la cash...in short sio familia ya njaa
 
pole yake jamani Wanawake Tuamke tuache utegemezi pesa ya Mwanaume iwe ya ziada tu tafuta yako Mwenyewe Khaa.

Ukistaajabu ya wema kuponywa Audi q7,utayaona ya wolper kunyang'anywa x6...
 
Mwenzake aliponyang'aywa X6 nilidhani yeye alikumbuka kudai risiti...te te te

Mwisho wataishia kwenye drugs maana hawajazoea maisha duni huku hawana reliable source of income...


Ukistaajabu ya wema kuponywa Audi q7,utayaona ya wolper kunyang'anywa x6...
 
So what????????
Msomi mzima una shupalia udaku
Mxiiiiiiii
 
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia.

Kama Wema ana lawyer , huyo jamaa anaweza kuishia kubaya

Huwezi mnunulia mpenzi wako kitu halafu uende kumnyanganya, kinachotakiwa ni kusahau tu.

Imagine mwanao au dada yako anafanyiwa hivyo utajisikiaje?
Kwa dada yangu au mwanangu atakayemchukua mume wa mtu kwa staili ya Wema huku akijua kabisa ni dhambi ntamwongezea na viboko kabisa.
 
Kweli ni mfanyakazi wa ikulu na hiyo kazi alimtafutiaga wife wake ambaye na yeye yupo stable kwenye suala la cash...in short sio familia ya njaa

Ikulu kitengo gani......................... ahah
 
Isijekuwa katengeneza mazingira tu! Ili ionekane Kama amenyang'anywa vitu ili domo chapati agharamie...maana hao wawili ni full kuviziana.
 
duh wewe Mali hadi kitengo unataka kujua

Ah mie nawacheka tu maana ...jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Muhimu kujua pengine ni Ikulu akifungua na kufunga geti tena lile la nyuma sio analopita Number 1.
 
Wanawake bana....
Yaani wanadai wanatumika....hivyo walipwe kwa kutumika....uchangudoa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…