Wema, Aunty Ezekiel Wapatana

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mastaa wanaofanya poa kunako game ya film bongo, Aunty Ezekiel pamoja na wema sepetu ,hivi karibuni wanadaiwa kupatana baada ya bifu la muda mrefu kutokea hapo nyuma, hata hivyo baadhi ya mashabiki Wa wema sepetu wamekilaani kitendo hicho huku wakimuta aunty Ezekiel yuda.
 

Attachments

  • 1447671811248.jpg
    94.5 KB · Views: 1,563
ushost na mama ubaya ni tabu tupu? maadui wake wote wawe wako pia...ukimsalimia kajala akununue, ukimpongeza domo kwa kupata tuzo aku unfollow!!
 
ushost na mama ubaya ni tabu tupu? maadui wake wote wawe wako pia...ukimsalimia kajala akununue, ukimpongeza domo kwa kupata tuzo aku unfollow!!


Jamani umbea hamjaupata wa kajala kumwagiwa fanta ya 700
 
Wapatana wapi

Wakati kasababisha kajala na wema kupimisha nguvu na kajala kumwagiwa thodaaaaa
 
Ningekuwa kajala ningemng'ata ngongoti yule na hivi mkorogo sijui angekuwaje
Wapatana wapi

Wakati kasababisha kajala na wema kupimisha nguvu na kajala kumwagiwa thodaaaaa

Yaani nimekushindwa!!! warumi siku hizi umechaacha wapi @Ms.Lincolin
 
Last edited by a moderator:
Wema ana roho nzr na anaover trust rafiki zake kupita kiasi hilo tu ndo tatizo lake
 
Nasubiri wageuke nione kama wana tabasam kiukweli
 

Attachments

  • 1447698146208.jpg
    94.6 KB · Views: 860
Hawa nao mie huwa nahisi wanananiiana kwa matendo yao.
 
Ningekuwa kajala ningemng'ata ngongoti yule na hivi mkorogo sijui angekuwaje

Yaani nimekushindwa!!! warumi siku hizi umechaacha wapi @Ms.Lincolin

Jana walikuwa wote, nasikia hata aunty gari lake lipo kwa wema, ugomvi Wa kajala na wema wala aunty haumuhusu, sema tu wema anataka aunty asiwe karibu na kajala but wanaelewana tu
 
Last edited by a moderator:
mwenzangu huo ubuyu nimepishana nao wapi sijui? hebu umwage hapa nisuuze nafsi mie

Aunt alienda kwa wema na gari akaliacha huko,kisha akampitia kajala wakaenda mahala,kufik huko wakamkuta wema na dada yake nuru,wakaenda kukaa meza ya kina wema,kajala nasikia akaanza kutunza kwenye band kwa fujo bihie wema akahisi anarushwa roho kwa hasira akamwagia kajala soda ya fanta na da nuri akamkunja kajala..aunt ndo akaanza kuamulia ila ugomvi ukamshindwa ikabidi akimbie yeye na kajala na handbag wakaziancha zikaja kufatwa na muna mindu...mpaka jana gari la aunt lilikuwa kwa wema ....huo ndo umbea.nasikia aunt akaitwa mnafiki na wema
 
Hawa nao mie huwa nahisi wanananiiana kwa matendo yao.

nasikia wanananihianaga.
wema na uwoya pia waliwahi fumwa dodoma katika safari ya dodoma ya wasanii mwakajuzi wakipigana finga.
 
Ningekuwa kajala ningemng'ata ngongoti yule na hivi mkorogo sijui angekuwaje

Yaani nimekushindwa!!! warumi siku hizi umechaacha wapi @Ms.Lincolin

yani mimi ningevuta lile lace wig mpaka litoke na ngozi.
 
Last edited by a moderator:

Team Wema wotee naona wanamchamba Auntie.
ile team usipoangalia itakuchagulia hadi dushe.
 
kiboko yake huyu alikua Chibu na mamake walikuwa wanamchapa kama mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…