Wema avishwa pete

The Don

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
3,499
Reaction score
1,170
Hatimaye wema nyota avishwa tena pete kuonyesha bado nyota yake inang'aa japo anapitia misukosuko mingi katika mapenzi na kudhihirisha usemi ukisema chanini wenzio wanasema watakipata lini.
Jamaa anaitwa mwinyi kutoka machozi band na hafla hiyo imefanyika usiku huu pale new maisha club na kusindikizwa na mastar wenzake wengi kama sharomillionea,jb,gadna g habash,mateja na wengine kibao.
Kila la heri dada
 
Engadgement rings anazo lukuki angefanya kweli tu kuliko kujitia gundu
 
Simba jike ni yule yule Ataendelea kula Nyama Mbichi.

Wengine Wanataka Kujionyesha Kuwa Ameshatembea na Wema Sepetu.....
 
mbona huyo mwinyi walisema ana mke humu....
 
Duh hiyo nanihii yake utakuwa umetepeshwa sana....mmh haoni hata kinyaaa kila siku dume jingine yupo kama mbwa mmmh
 
Alikuwa anatengeneza Movie.....Otherwise.....Kaamua kuishi maisha yale....kimaigizo
 
Kwa kipindi kifupi tuu ameshavishwa pete ya uchumba mara tatu na kuolewa mara moja. Je kuna mtu anajua umri wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…