Wema hajifunzi utazikumbuka hizo noti

Nyasamaki

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
1,055
Reaction score
595
[h=1] [/h]

Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band
Hapo Kwenye Picha Wema Alikuwa anaimbiwa Wimbo Maalumu kwa Ajili yake na Kuamua Kufungua Pochi na Kugawa Mijihela Kibao Kwa Mwimbaji Sam wa Skylight Band Kitendo Kinachoonekana Kujibu Mapigo kwa Kajali Kwani Siku si Nyingi nae alimwaga Minoti ya kufa mtu kwa Waimbaji wa ya Moto Band....Mweee Siku hizi tuna Mapedejee wa Kike...Lol
 
Sikio la kufa, hivi na ujinga huu ni kosa la marafiki wabaya?
 
Kama ulimsaidia kuzitafuta sawa ila kama hujui kazipataje ukianza kumpangia namna ya kuzitumia hela zake nitakuona ndezi.

Fanya yako.
 
Kama ulimsaidia kuzitafuta sawa ila kama hujui kazipataje ukianza kumpangia namna ya kuzitumia hela zake nitakuona ndezi.

Fanya yako.

Tatizo baadaye huwa wanatembeza bakuri ili wachangiwe pesa za matibabu wakati hizi pesa wanazochezea leo wangefunguwa miradi midogo midogo.
 
Tatizo baadaye huwa wanatembeza bakuri ili wachangiwe pesa za matibabu wakati hizi pesa wanazochezea leo wangefunguwa miradi midogo midogo.

Mtu wa namna hii akija kutembeza bakuli ili tumchangie hela za matibabu tunampiga tu!
 
Papuchi haisomi kilomita na haina erosion, wanaume tutapigaaaa weeee! Unatoka unasema umemkomesha wakati mwenzio anasema alikuwa anasikia raha, na unamchana na laki kadhaa! Teh teh
 
Tatizo baadaye huwa wanatembeza bakuri ili wachangiwe pesa za matibabu wakati hizi pesa wanazochezea leo wangefunguwa miradi midogo midogo.

siku wakikuletea bakuli usichange.
 
Hhhhaaaaaa hivi Lulu ye pesa zake hua harushii hivyooo
Wema ni bora hizo pesa angemrushia bibi yake wa Singida ana njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…