Na kam ameamua kuweka kipindi kinachimuhusu anatakiwa kuwa muwazi pia sio mambo mengine I don't wanna talk about it
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
she likes publicity....aliwahi kusema hivyo kwenye mkasi na Salama Jabir, no wonder ideas zake nyingi ni ujinga tu...just for the sake of publicity i suppose!
Hivi, lile jumba lake na Zamaradi liliishia wapi???[/QUOTE
ile nyumba ni ya kupanga!! yaan mi sielewi kwa mtu mzima mwenye akili zake anakaa anadanganya jamii nzima kitu kisicho chake