Mimi ndio maana naamini Wema ni mgonjwa kabisa na ana hitaji msaada..hivi umejaribu kupita pale kwenye duka lake ukaona hiyo wanayo ita 7 billion?wawadanganye wajinga laini sio mie!billion saba munaijua au munaongea tu?!
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.
Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).
Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.
CHANZO :GPL
Wema hana hata kibanda?
Unacheza wewe. Wema ana nyumba ya milioni 400:redface:.
come again...Shaba what??hahaaa ndio anamalizia 2015 mlikua mmemsahau mda mara mwaka jana alifunga ndoa......mwaka huu kafunga ndoa tena kweli maajabu....mhalafu mbna wadada w mjini hawakui ninishida angalia picha y hiyo pati yke wengi wanaumri mkubwa ila wanaakili kma z wema ndio marafiki n mashabiki wke.....au nao wauza mpapaa yamejikoboa hatariii sherehe nzima shabaranks ndio mweusi wengine wote weupe.
come again...Shaba what??
koh kohππ
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.
Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).
Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.
CHANZO :GPL
Mimi natafuta vitafunwa lakini sivioni.................