Wema,Lemutuz na Mange. Je, wataingia serikalini?

Nakipenda chama changu you know
Mimi nina degree tatu, akili kubwaz
C hitaji nafasi serikalini nyie mburulaz
I have an office nimeajiri watu you know
I leave down town, 3 mins from office
Every evening niko double tree hilton nakunya tea you know.......

Kuna mwenye tatizo???

Le mutuz......
 
Yaani kwa kasi y magufuli kuna mhariri wa gazeti anawaza kabisa hao watu wapewe uwaziri hahahaha
 
Hebu tuache porojo jamani. Hii nchi tupo nyuma sana. Tunahitaji viongozi wenye uwezo kutuongoza.

Being popular/ famous sio muda wake kwa sasa. Hao wote uliowataja wanaweza kuwa viongozi LAKINI si kwa level ya kuongoza umma. Pengine watatusaidia kufanya mobilisation huku social media tunapokua na vitu serious.
 
Labda enzi zile za Mkwere lakini kwa Ngosha wamedunda.


Mkwere a.k.a. mla ndezi alikuwa hafuati usomi wa mtu, yeye akiona fulani ni msanii anakupa uwaziri au cheo serikalini kwani alikuwa hajuwi nini maana ya kutawala nchi, na ndiyo maana alikuwa anasema fursa kwa kila mtanzania. Kubwa jinga (Le Mutuz) alimpigia debe zungu la unga (Mze wa China/makontena...ritz1) apate uwaziri ili aajiriwe kuwa messenger wake. Sasa anahaha kujinadi mwenyewe mtandaoni haoni nani wa kumpigia debe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…