Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
hahaha huyu bint ni bogaz sana kwahiyo ataeendelea kumpa papuchi na wakati huo atakuwa ni muke ya mwingineYaani wafanye ngono zembe ili azae uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hivi kuna video nimeiona recent akiwa na dimpoz nimeshangaa sana.. Wema ni mwema sana na ni jamvi la wagenindo maana namkubali Wema,jamaa kamuacha ila atamzalia mtoto bila shaka huyu dada ana sperm bank yake
So umeamua kumtetea malaya mwenzako?Humu ndani kuna watu uchafu walioufanya wema hafiki hata robo ila kwa kua sio maafuru wanajificha nyuma ya keyboard na kumshambulia dada wa watu,hivi kwa mfano yule mwanamke alichafua hali ya hewa kwa kufumuliwa linda tungejuaje kama sio zile picha?uchafu wengi mnafanya msikimbile kuponda wenzenu kisa ni maarufu,siku ya mwisho(kiama) kuna watu hata kuwatamazama itakua tabu kwa aibu.
Huo uchafu kwani unatangazwa?? Au ndo kutetea uchafu kisa team wema. Mtu mchafu hufanya mambo yake silently ili jamii icngundue uchafu wake. Ila wema sepetu yeye uchafu wake ni matangazo ya vifo[emoji4] [emoji4]Humu ndani kuna watu uchafu walioufanya wema hafiki hata robo ila kwa kua sio maafuru wanajificha nyuma ya keyboard na kumshambulia dada wa watu,hivi kwa mfano yule mwanamke alichafua hali ya hewa kwa kufumuliwa linda tungejuaje kama sio zile picha?uchafu wengi mnafanya msikimbile kuponda wenzenu kisa ni maarufu,siku ya mwisho(kiama) kuna watu hata kuwatamazama itakua tabu kwa aibu.