Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wema " ameajiriwa" na Diamond?!!......kweli dunia tambala bovu!Wema Sepetu amesema kwa sasa ameshamaliza tofauti zake na Diamond Platnumz na kuwa kwa sasa amekuwa Boss wake kwa kuwa amemuajiri Wasafi TV
Wema amesema hawana uhusiano wa mapenzi ila wanapeana sapoti kwenye kazi
Pia amejibu kumkumbatia Diamond ndio kulikosasababisha Zari amuache na kusema Zari alikuwa na sababu kibao za kumuacha Diamond na sio sababu ya yeye kumkumbatia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mangi Kimambi ndio anajua nini cha kusema.
Kasemaje da MangeMangi Kimambi ndio anajua nini cha kusema.
upo?Tutaona mengi
nimejaa tele dear1upo?