Tetesi: Wema na baby wake mpya wawekwa ndani kwa utapeli

Tetesi: Wema na baby wake mpya wawekwa ndani kwa utapeli

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Nasikia bibie na baby wake wapo central kwa utapeli, nasikia walimtapeli mtu kwenye instagram ya wema sepetu , watu wa matangazo.... sasa bibie akaamua aji hack apost matangazo🤣🤣, Ila njaa mbaya , mastaa wenzio wako busy kutangaza products za makampuni ya maana , wengine mabalozi, bibie yuko busy kutangaza dawa za nguvu za kiume, kweli aliyemroga wema kafa , na nasikia familia yake imegoma kwenda polis, wamchoka , wamesema wacha dunia imfunze
 
Habari hii naomba iwe kweli.

Wafungwe wotee...

Mtu hawezi tangaza bikra ya tigo hadharani abaki hivihivi.. Hawa wafungwe bila kesi.

Mkuu hebu tufafanulie apo mie sijaona ndani
 
Yani wema anahangaika hajui ata anachokitafuta. Hebu anitafute mie atatulia tu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom