Wema na diamond kufanya move pamoja

Wema na diamond kufanya move pamoja

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,126
DIAMOND amefunguka kuwa yuko mbioni kushiriki move ambayo anatakiwa kucheza na Girlfrend wake wa zamani WEMA.
anasema alipata tabu kidogo kukubaliana na wazo hilo ila baadae alikubali baada ya ushauri.
ANADAI AMELIPWA HELA NYINGI SANA AMBAYO HATA KWENYE MZIKI HAJAWAHI KULIPWA.
ndio maana alikubali.

SOURCE:KIPINDI CHA TAKE ONE.
 
Hvi bongo kila mtu ni mcheza movie?
 
Kweli Wabongo wanacheza na industry ya movies...naona sasa kila mtu maarufu anataka kuigiza.
 
Ni movie gani hiyo? Au pono?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom