Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

Kwa mahusiano waliyo nayo ndugu sidhani kama ile ilikua kik. Halafu sio maara ya kwanza hawa watu kukutwa pamoja basi tu picha kulikua hamna ila hawaachani hao wawili.
 
Mzigua bwana umesahau kua old is gold,hata wewe yule kijana single father anaweza zunguka wee huko mwisho wa siku akarejea,hasa ukiwa na upumbavu wa kumpa nafasi nyingine kama Upumbavu wa Tz sweetheart
Upumbavu unakuja pale ambapo mimi sina mtu na nampenda na yeye ananipendaa kwa wakati huo anarudi kwanini nisiendelee nae nikiwa nasubiri wangu. Kumuacha mtu unaempenda si jambo la kutumia nguvu. Mapenzi huwa yanaisha yenyewe tu. Sasa kabla hayajaisha usitumie nguvu na kujiumiza kuyamaliza.
 
Hii kali yaani malaya au wazinifu maarufu nchini wakiendeleza uzinifu na kulaeitiana imekuwa ni habari motomoto. Mbona haya mambo ya kijingajinga hivi hatuoni kwenye magazeti ya majirani zety ni hapaa kwa wasio na bongo ndio ujinga huu upo
Hakuna nchi wasioandika udaku. Labda kama hauko duniani mwenzetu
 
Mi pia nimejiuliza sana kuhusu hili swala maana nimebahatika kuiona hiyo clip,nikajiuliza hivi huyu mtu hana hata washauri kweli,sasa naanza kuamini kuwa kuna uwezekano mkubwa haya matukio huwa yanatengenezwa..
Mi siamini kama ni kick
 
Wema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
Hii chain ni ndefu na kina sisi utakuta tushakumbana nayo mahali. Ila Dar hamna ukimwi la sivyoo tungetafutana mjini.
 
Huo udada wa taifa unamaanisha nini Mzigua90
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…