Wema na Izo business mapenzi hadharani.

We siunajua mapenzi yamekua gazeeti leo unasoma kesho zamu ya mwenzio kaza mwendo jomba
 
Jamaa HB kinoma,halafu hiphop sana.Angekuwa anabana pua duh angewatafuna sana

last weekend kanipiga nusu uwanja coco!utaratibu ulivurugika alikuja na twiga mmoja hivi wa duniani mtoto kasimamia kucha halafu hajulikani hapa mjini!babako full kujihandsamisha ili mtoto aniwakie ila mtoto sana tu kwa mnyamwezi Bizness
 
Uzuri wa huyu bi dada si mchoyo ukiomba unapewa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

sasa wewe nenda ndo uone kama utapewa.......
unadhani hizo big G anagawa tu,Sepetunga anagawa kwa akili wewe
 
Dada yetu ana WEMA WA SEPETU, halichagui halibagui...kokoto,mchanga, saruji, SAMADI.....................iwe ya kitimoto inazoa.
 
..Ni sharo mmoja tu hivi. Niajeee M-chuga??

dah!nilikuwa na wasiwasi ungemponda dogo.....ila sio sharo yule chalii bana!

ila kwa wema naona dogo kama kapotea hivi!!?......sijui lakini bana,maisha yake haya!
 
izo business ndio namsikia wema yeye anapendaga wasanii tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…