Wema na Jokate wapatana

Wema na Jokate wapatana

trudie

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
3,668
Reaction score
8,745
Ni hatua nzuri waliyofikia na hii inatuonyesha ni jinsi gani tunapaswa kuweka vinyongo pembeni na kusameheana.Hii wameonesha warembo wawili machachari wema a.k.a beautiful onyinye na jokate a.k.a. jojo ambapo wamepiga picha za pamoja (selfie)ndani ya ndege wakielekea Mwanza na kuzitupia katika akaunti zao wakionyesha kuwa na furaha.
Hongereni sana na nampongeza wema kwa roho yake nzuri ya kusamehe na kusahau yaliyopita.
 

Attachments

  • 1407617473023.jpg
    1407617473023.jpg
    24.2 KB · Views: 878
  • 1407617507445.jpg
    1407617507445.jpg
    21.4 KB · Views: 784
Bora tu wasameheane mana wote wame share dushe la dangote wake wenza
 
Mke mkubwa na mdogo hapo ila kama wameamua kumaliza tofauti zao kweli ni vizuri isije kuwa ni unafiki tuu maana nao hawakawii
 
Nishachoka habari za Wema wallah

Ndio hivyo tena wana mapya kila siku sema siku hizi yamepungua sababu warumi hayupo mleta umbeya nammisi sana jamani mpaka jukwaa limepooza
 
Back
Top Bottom