The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Ni ukweli unajulikana kina Kim Kardashians
walivyoanzisha kipindi chao cha kuonesha maisha yao
hata wao hawakujua nini kitataokea mwisho
na watu wengi mwanzo waliona kama ni 'sio reality show'
ya kikweli kweli kwamba drama nyingi ni za kupanga
na kuandikwa na watu behind the scene....
mwisho hatimae kama mungu amesikia kilio chao
sasa wameanza kupatwa na real life drama ambazo hazihitaji kuigiza
na kila mtu sasa anatazama aone wata cope vipi na drama za kweli hizi?
drama ya kwanza ni mume wa dadake Kim kujulikana
anatumia drugs...na sasa kim anataka dada yake adai talaka..
na latest ya baba yao na mama yao sasa kuachana kikweli kweli
je wata shoot matukio yote na kuwaacha watu waone their pains za kweli?
na je kim na kanye hii arrangement inakwendaje?
hatimaye mungu sasa kawapa drama za kweli kazi kwao....
N Wema nae na kipindi chake na drama za kuigiza igiza mwisho sasa
tukapata taarifa ya msiba wa baba yake...najiuliza tu
alikumbuka camera? alilia mbela ya camera? aliweka make ups?
ni kama vile unam beep mungu halafu anakujibu....
hivi kuna ulazima wa kuweka maisha yako kwenye tv?
ukipatwa na drama za kweli je? utakumbuka camera?
walivyoanzisha kipindi chao cha kuonesha maisha yao
hata wao hawakujua nini kitataokea mwisho
na watu wengi mwanzo waliona kama ni 'sio reality show'
ya kikweli kweli kwamba drama nyingi ni za kupanga
na kuandikwa na watu behind the scene....
mwisho hatimae kama mungu amesikia kilio chao
sasa wameanza kupatwa na real life drama ambazo hazihitaji kuigiza
na kila mtu sasa anatazama aone wata cope vipi na drama za kweli hizi?
drama ya kwanza ni mume wa dadake Kim kujulikana
anatumia drugs...na sasa kim anataka dada yake adai talaka..
na latest ya baba yao na mama yao sasa kuachana kikweli kweli
je wata shoot matukio yote na kuwaacha watu waone their pains za kweli?
na je kim na kanye hii arrangement inakwendaje?
hatimaye mungu sasa kawapa drama za kweli kazi kwao....
N Wema nae na kipindi chake na drama za kuigiza igiza mwisho sasa
tukapata taarifa ya msiba wa baba yake...najiuliza tu
alikumbuka camera? alilia mbela ya camera? aliweka make ups?
ni kama vile unam beep mungu halafu anakujibu....
hivi kuna ulazima wa kuweka maisha yako kwenye tv?
ukipatwa na drama za kweli je? utakumbuka camera?