Wema na kujikomba kote kwa aunty ezekiel atoswa kwenye birthday

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika kwa birthday yake leo. Kweli wema kaisoma namba na leo ni namba 168.
Nahisi zarithebosslady katumia cheo

 
Mbona hata zarina hayupo?

Lakini wema si yupo china katika biashara zake[emoji6] [emoji6]
 
Nilimsikia Aunt akisema kuwa anamheshimu sana mwanamke wa bosi wa mumewe. Mjini hapa. Ukileta za kuleta utasababisha wakati wa half time Zari amwambie Mondi, hamtaki Iyobo. Unadhani Aunt hajui hilo?
 
Chaaaa...wema hayupo bongo, na angekuwepo angefosi tu kwenda kwa aunt, yule demu kajipindia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…