Wema na kujikomba kote kwa aunty ezekiel atoswa kwenye birthday

Haijadorora hiyo party iko kiutu uzima siyo kigodoro
 
Iyobo yupo kama mgeni alievamia shuhuli yaani hata hajiamini maskini ya Mungu weeee, kuoa hawa waigizaji lazima nawe uigize maisha, amekosa hata kazawadi ka boxer jamani kwa mzazi mwenzie?! maana hawa wanawake wa bongo movie wamezoea zawadi zinazotembea.
 
kufanya birthday part huku ukiwa umepanga, ni uthibitisho tosha wa tafiti ya hivi karibuni.Ktk watz wanne mmoja kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…