Wema Sepetu aapa kuirudisha bongoMovies ktk ubora wake km zaman

youngdonats18

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
685
Reaction score
443
Tanzanian SweetieHeart Wema Sepetu amewataka watanzania ukaa mkao wa kula kwa kazi yake mpya
Hii ni kufuata mfukulizo wa post zake kuhusu ujio wake mpya wa kazi zake ktk kuigiza, amewaasa wabongo kuwapa ushirikiano wa dhati kabisa

Katika hili yatupasa kuonesha mapenzi ya, dhati kwa princess wetu

 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bongo movie ishapoteza mvuto zamaaani maana siku hizi hata vihindi vilivyowekewa maneno ya kiswahili vinaipita kwa kuangaliwa hata na mahouse girl sembuse kuzipiku movie za kikorea au movie nyingine za wazungu ni ndoto.
 
Aanzie kwenye hii script ninayoambatanisha hapa chini, lazima imtoe

 
Usipende sana kusikia, mana haya yote umeyasikia sijui tuamini kip sasa?!! [emoji42]
 
Ukisupport upinzani Tanzania ni hatari kuliko kutembelea Islamic State. Kule Bongo Movie sasa hivi wanamuona na adui wao mkubwa.
 


Hivi Wema anapotumia kauli ya kijinga kama hii anakuwa anamaanisha nini? She's not even a good actress, yaani katika watu wasiojuwa ku-act she's one of the leaders, sasa anataka rudisha Bongo Movie to what level? Kama ana washauri, basi wamwambie aendelee tu kuwa mtu wa vituko ila ku-act aache tu au labda awe ana-act porn movies maana zile you don't need to be an actress mwenye talent, unafungua tu miguu na kupokea dushe.
 
Huwa unaact porn movies?
 
But she is an actress


NOT a good actress yaani ni kama mtu kawekwa tu. Ku-act ni kazi ya watu si lelemama kama wafanyavyo wasanii wa kwetu na huyu dada yako. Wema hajuwi ku-axt hata kidogo. Huyu yuko katika lile kundi la wasanii mizigo ambao wanajulikana ndani ya Bongo muvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…