Mla mla leo,Mla jana kala nini?
Huyo atakuja keolewa na mtu wa kawaida saanaaaa yaani ntashangaa kuona mwanaume mwenye kila sababu ya kuwa admirable kwa beautiful women akija kuoa papuchi ilioexpaya kwa upande mwingine atakuwa ametusaidia kwani gharama za kumgonga zitapungua Mke wa mtu hana gharama yakhe
papuchi haina expiry date wewe. Ina maana alieolewa 20 years anakuwa alishaekspaya ama? Muacheni dada wa watu bwana
papuchi haina expiry date wewe. Ina maana alieolewa 20 years anakuwa alishaekspaya ama? Muacheni dada wa watu bwana
Huyu demu alikuwa mzuri kipindi akitoa film ya kwanza na marehem stevin kanumba ile ya valentain! Ila sa hvi hata ampe Dogo janja hyo mbunye lazma dogo ataisusa! labla akaolewe Botswana au aende viziwa vya mafia
Nyie mnaomponda Wema hao wake/mademu zenu mnajua walikuaje kabla hamjakutana nao?ye ustar ndo unaomponza ndo mn mwajua mambo yk mng vipi hao mnaodate nao????mtu anaweza kubadilika dakika yyt...muacheni binti wa watu
Laiti Mungu angeonesha live matendo yetu Cdhani km angekuepo mkamilifu anayeweza chonga juu ya hili,tuxwe kama nyani jamani kwa kutokuona ----- lake...!
Kilamtu atavuna alichopanda.Swadakta ndg yangu.
Si vizuri kunyoosheana vidole. Ndio mana kuna kutubu coz hakuna mkamilifu. Yy km binadamu amejua wapi alipokosea na sasa ameamia kujirudi.
Wema Sepetu amechoka uhusiano wa boyfriend na girlfriend. Muigizaji hiyo wa filamu amesema anataka kuolewa.
Wema alisema hayo jana kwenye reality show yake, In My Shoes baada ya meneja wake Martin Kadinda kumuuliza kwanini hana kiki kwa sasa.
Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 alisema kuna vitu vingi anataka kuvifanya ikiwemo kuwa na hamu ya kutulia na kuwa mke wa mtu.
Hata hivyo Wema alisita kumweka wazi mwanaume anayetaka kumweka ndani na kumtaka meneja wake kuwa na subira.
Itakua hapo hapo labda tubadilisheee we utakua kamati ya chakula,mi nipo kamati ya vinywajii upo hapoo
Mi Wema ananiudhi tabia yake ya kujirahisisha rahisisha kwa wanaume....aaargh ananiboa sana.Natamani kusikia kuwa Wema kaamua kumove on mwenyewe, kafungua duka la vitenge, ndala vyovyote hata genge la mchicha poa tu....though tutaponda lakini maisha ndo yanasonga na baadaye tutajisogeza sie wenyewe kumuungisha!Atleast mtu unatulia unafanya yako, hayo maisha ya mishe in town wanayoishi sio kabisa......no mradi wa kueleweka mradi mtu anaishi kwa jina tu....daaah hapana kwakweli!!