Wema sepetu aharibika

Nilipoona kichwa cha habari nikadhani mtoto mzuri kaanza kutumia mtandao wa Fidel80/Masanilo,jamani mbona hicho ni kidonda cha kawaida.Nimekutana na Wema kikazi mara kadhaa na ni mtu mstaarabu sana hayo mengine ni utoto tu ukizangatia alikuwa 17yrs aliposhinda Miss Tanzania.
 

17years old eeh πŸ˜•
 
Madhara ya mizigo toka China ndo hii sasa.
Ila mrembo katumika mno nahisi itakuwa imechangia vipodozi kugonga mwamba


daaah! tup makini kweli kwa ku comment. . . .
pole zake
 
kwani michael jackson alikuwaje mpaka mauti ikamkuta? sasa nashangaa waTZ mnashangaa huyu dada, yeye kaamua kuwa mwenda wazimu mwache!!
 
jamani huyo dada ana miaka 30 ama 31 mbona miaka mnayoandika tofuti na sura yake uko kwenye ngozi sifiki
 
jamani watu wanapaka makalio kuyaongezea uzito uyu anaenda kupaka mapaja heeeeeeeeeeee hakuwa na mshauri...sasa inawezekana dawa ya makalio kapaka sehemu tofauti matokeo yake hayoooo hakujua wachina wakisema dawa ya mikono ya mikono ya hips ya hips ya ma@##$%$^%^ ya maka$#^*&*&

hapo soln ni kupata dawa aliyokusudia kutumia ndio itaponesha hiyo sehemu nje ya hapo


llooooooooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…