lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mimi ni Team Wea, kitambo sanaa, japo alivosema analeta show nikajua itakuwa ya kubo boa coz honestly kwa mtazamo wangu nilijua wema can never do anything serious than being Wema Sepetu! Na nilijiandaa kucheki hio TV show yake na nimecheki na kujirizisha kuwa THE SHOW IS AWESOME!!!!!!!!!!! Way beyond my expectations!
Ujue the main theme ya kipindi ni kuhusiana na maisha ya kishua shua flani hivi, na wema anavohost cause naye ni toto la kishua basi mambo swadaktaaaaaaaa!!!!!!!!! Kiukweli i was not bored 1 bit! Na idea ya kumuweka Petit man (Pet ill give you a one night stand any time any day) kama mpambe ni mwaaaaaaaaaaaaaah! Na upambe nuksi anauweza kweli! Kadinda goo job, you might not be true man, na watu wanakosa imani na mrengo wako but you are 1 hell of a manager! YOU MAKE SHIT HAPPEN! PERIOD!
Sasa baada ya kuwavisha kilemba cha ukoka ngoja nitoe maoni yangu professionally! U team Wema pembeni kwa muda! Mi natakupa live ili ufanikiwe zaidi na mbeleni nisije kuchange channel kama nikiona kipindi cha Zamaradi a.k.a Zamamajungu (nisamehe bure wala hujawahi kunikosea lolote bt since you are a celebrity i happen to think you deserve my insults. Dont take me seriously)
1. STEP UP YOUR GAME! Ujue watu au mimi ile show yako Wema naitizama coz ni ya kishua, nategemea unitoe ushamba, nijifunze kipya kila nikiingia! Sasa ukianza kuleta uduwanzi utaiangalia na Domo na mke mwenzio Penseli sebuleni kwenu. Watu tunategemea MAMBO MAKUBWA utuoneshe uko NGURUDOTO, Kigamboni, Cassino, mabeach private huko zanzibar na mabo kama haya, BATA BATANI! paka wapambe nuksi tuseme NAAAAM!
2. UBUNIFU! Huu sikufichi hunaaaaaaaa! Unajikakamua ila badooo! Unakuwa na main idea nzuri ila details za kusisiua bado. fano ulivoenda Msasani Mall ku chopp money, kipindi chote wapita pita tu! Aaaaaaaah! Mbona kulikwa na scene nyingi tu ungeshut kutuburudisha? Kama kupata kunch, kujaribu zile nguo, kuongea na wauzaji, je wanakujua wewe Wema au kidampa tu pande zile? Ungewasaliamia funs wako, ukatuonesha 2 au 3 wanatoa coments na 1 au 2 aliktakiwa awe HATER TU! Kila Mwisho wa kipindi ungekuwa unasoma tweets HARSH OF THE HARSHEST kutoka kwa fans wako na kuonesha emotions zako na kuzijibu. That is reality! SIO KILA MTU ANAKUPENDA! (Japo personally nakupenda sanaaa!) Try to engage the public katika hio show yako. Labda episode moja uendeshe live chat watu waseme WHY THEY LOVE OR HATE WEMA! Usifikiri RATINGS utazipata bureeeeeeeee! Thubutuuuu! You might be Wema sepetu but TV business is another issue.
3.GO COMMERCIAL! Sawa kuwa tv personality lakini fanya hata biashara something REAL ya kuback up show yako kama Kimora au kina Kim K! Lazima uweke some POSITIVE IMPACT kwenye jamii cause we ni kama role model! Sasa wewe ni shopping na mambo ya bata batani tu! Kuwa hata designer, au fungua hata brand line ya chochote GET RICH OR DIE TRYIN MDOGO WANGU! Umejibwetekaaa unajua kuchuna buzi tu shosti! Fungua hata car wash, na hio airtime you will be a millionare in a week, au mgahawa! Watu wanatafuta majina yawaingizie pesa! Hata lipstic line au hata line ya mkorogo! Kitu kingine engage makampuni kwenye air time yako, aka volunteer charities na kampuni zisponse! Although wasichana waziri sanaa ni penut brain ila wewe umezidi, utazeeka mda si mda!
4. GUSA JAMII! Mfano weka kisegment ambacho maybe unawasupport wanawake wajasiria mali, so unakuwa unawatembelea na kuwahoji huku ukiwapa airtime, au unatembelea shule za sekondari ongea na wasichana, ongea na wasichana wanaotaka kutoka kisanii waeleze challange zao, zungumzia current affairs zinazovuma na utoe msimamo wako Wema kama wema! Ila uwe uangalife mwenzangi wasije kuku mvungi! Pika siku oja moja na kuosha vyombo kama mwanamke wa ki TZ, jiunge na vikozi uwainsipre watu wengine!
5. TUONESHE SHEMEJI YETU PEDESHEEE! Hahaaaaaaa! Hii naitaka kwa sababu zangu binafsi, umbea tu umenibana! LOL!
NOTE:
MIMI NI TEAM WEMA KINDAKINDAKI! PATACHIMBIKA HUMU MKILETA U HATER!!!!!!!!
Mimi ni Team Wea, kitambo sanaa, japo alivosema analeta show nikajua itakuwa ya kubo boa coz honestly kwa mtazamo wangu nilijua wema can never do anything serious than being Wema Sepetu! Na nilijiandaa kucheki hio TV show yake na nimecheki na kujirizisha kuwa THE SHOW IS AWESOME!!!!!!!!!!! Way beyond my expectations!
Ujue the main theme ya kipindi ni kuhusiana na maisha ya kishua shua flani hivi, na wema anavohost cause naye ni toto la kishua basi mambo swadaktaaaaaaaa!!!!!!!!! Kiukweli i was not bored 1 bit! Na idea ya kumuweka Petit man (Pet ill give you a one night stand any time any day) kama mpambe ni mwaaaaaaaaaaaaaah! Na upambe nuksi anauweza kweli! Kadinda goo job, you might not be true man, na watu wanakosa imani na mrengo wako but you are 1 hell of a manager! YOU MAKE SHIT HAPPEN! PERIOD!
Sasa baada ya kuwavisha kilemba cha ukoka ngoja nitoe maoni yangu professionally! U team Wema pembeni kwa muda! Mi natakupa live ili ufanikiwe zaidi na mbeleni nisije kuchange channel kama nikiona kipindi cha Zamaradi a.k.a Zamamajungu (nisamehe bure wala hujawahi kunikosea lolote bt since you are a celebrity i happen to think you deserve my insults. Dont take me seriously)
1. STEP UP YOUR GAME! Ujue watu au mimi ile show yako Wema naitizama coz ni ya kishua, nategemea unitoe ushamba, nijifunze kipya kila nikiingia! Sasa ukianza kuleta uduwanzi utaiangalia na Domo na mke mwenzio Penseli sebuleni kwenu. Watu tunategemea MAMBO MAKUBWA utuoneshe uko NGURUDOTO, Kigamboni, Cassino, mabeach private huko zanzibar na mabo kama haya, BATA BATANI! paka wapambe nuksi tuseme NAAAAM!
2. UBUNIFU! Huu sikufichi hunaaaaaaaa! Unajikakamua ila badooo! Unakuwa na main idea nzuri ila details za kusisiua bado. fano ulivoenda Msasani Mall ku chopp money, kipindi chote wapita pita tu! Aaaaaaaah! Mbona kulikwa na scene nyingi tu ungeshut kutuburudisha? Kama kupata kunch, kujaribu zile nguo, kuongea na wauzaji, je wanakujua wewe Wema au kidampa tu pande zile? Ungewasaliamia funs wako, ukatuonesha 2 au 3 wanatoa coments na 1 au 2 aliktakiwa awe HATER TU! Kila Mwisho wa kipindi ungekuwa unasoma tweets HARSH OF THE HARSHEST kutoka kwa fans wako na kuonesha emotions zako na kuzijibu. That is reality! SIO KILA MTU ANAKUPENDA! (Japo personally nakupenda sanaaa!) Try to engage the public katika hio show yako. Labda episode moja uendeshe live chat watu waseme WHY THEY LOVE OR HATE WEMA! Usifikiri RATINGS utazipata bureeeeeeeee! Thubutuuuu! You might be Wema sepetu but TV business is another issue.
3.GO COMMERCIAL! Sawa kuwa tv personality lakini fanya hata biashara something REAL ya kuback up show yako kama Kimora au kina Kim K! Lazima uweke some POSITIVE IMPACT kwenye jamii cause we ni kama role model! Sasa wewe ni shopping na mambo ya bata batani tu! Kuwa hata designer, au fungua hata brand line ya chochote GET RICH OR DIE TRYIN MDOGO WANGU! Umejibwetekaaa unajua kuchuna buzi tu shosti! Fungua hata car wash, na hio airtime you will be a millionare in a week, au mgahawa! Watu wanatafuta majina yawaingizie pesa! Hata lipstic line au hata line ya mkorogo! Kitu kingine engage makampuni kwenye air time yako, aka volunteer charities na kampuni zisponse! Although wasichana waziri sanaa ni penut brain ila wewe umezidi, utazeeka mda si mda!
4. GUSA JAMII! Mfano weka kisegment ambacho maybe unawasupport wanawake wajasiria mali, so unakuwa unawatembelea na kuwahoji huku ukiwapa airtime, au unatembelea shule za sekondari ongea na wasichana, ongea na wasichana wanaotaka kutoka kisanii waeleze challange zao, zungumzia current affairs zinazovuma na utoe msimamo wako Wema kama wema! Ila uwe uangalife mwenzangi wasije kuku mvungi! Pika siku oja moja na kuosha vyombo kama mwanamke wa ki TZ, jiunge na vikozi uwainsipre watu wengine!
5. TUONESHE SHEMEJI YETU PEDESHEEE! Hahaaaaaaa! Hii naitaka kwa sababu zangu binafsi, umbea tu umenibana! LOL!
NOTE:
MIMI NI TEAM WEMA KINDAKINDAKI! PATACHIMBIKA HUMU MKILETA U HATER!!!!!!!!