Wema Sepetu alipoanzisha varangati la kufa mtu ofisini

Hahaahaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio inaitwa simu ya kufuta
Siku ya kwanza kuipata hii simu, nimetoka dukani, nimewekewa line bahati nzuri namba yangu ya zamani, niko supermarket, simu inaita sijui ninapokea wapi, kuna kaka mmoja alikua nyuma yangu akawa anacheka, simu imekatika mara ya kwanza, kuja kupangusa kumbee😳😳
 
Hebu niambie,kipi ungetamani kukimiliki lakini fwedha haijakaa upande wako,ili kama vipi nikufanyie njia ya mkato ??
 
Hebu niambie,kipi ungetamani kukimiliki lakini fwedha haijakaa upande wako,ili kama vipi nikufanyie njia ya mkato ??
Hebu niambie,kipi ungetamani kukimiliki lakini fwedha haijakaa upande wako,ili kama vipi nikufanyie njia ya mkato ??
You made my day, asante sana mkuu, I feel like I have just been dropped from heaven right now πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Majibu ya watu humu unaweza ulie kha!!! [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mambo ya Tecno na itel hayo yamesababisha kutwa kufukunyua Internet masaayote matokeo ndio haya uzi wa zaman kuhisi mpya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…