Wema Sepetu alipotua Airport

Nahisi harufu ya cheche za"""""""""""""""""""" kinondoni cementry""""""""
 
Jamani hivi kijana wa Twanga ndio shemeji yetu...
na wewe mfukunyuzi hivi ni mpiga picha wa Global Publisher ?
Asante kwa picha
 
Who the is this guy jamani uwii nitaua mie!!! amerudi lini mrembo wetu
 
Laiti mungu atuwekea angaza tungekuwa tukitembea nayo wengine ndugu zetu wasingekuwa kinondoni basiii tuu tutafanyaje
 
who the is this guy jamani uwii nitaua mie!!! Amerudi lini mrembo wetu


njoo kwenye maonyesho ya twanga utamjua vizuri .....nipe muda naulizia ratiba ya twanga wiki hii nikumwagie
 
yeah nami pia ni mdau wa picha kimtindo napenda sana ujumbe picha

fl1
watch out wasitutoe hadharan awa watu kwa style hii ma dadazetu inabidi wawe makini sana bg up mfukuthread
 
BInti karejea na kiuno kimeshachakazwa kwa kufanya STRIPPING mfululizo huku akiingiza uzi kwenye tundu ya sindano.

She is ugly
 


Huyu Wema mzuri sana ! Hebu check Kiuno hicho, ananikera life style zake ! Chalz baba wala si stahili yake
 
Hapo anakunywa mate! Kweli kuna watu hawana kinyaa!
 


huyu wema mzuri sana ! Hebu check kiuno hicho, ananikera life style zake ! Chalz baba wala si stahili yake


anachoniachaga hoi ni kimoja tu ata akonde kiasi gani uso mikono inakonda \ile bambataaa hata siku moja aipungu sijui anachambia amira anyway siri yake
yaani kuanzia kiuno mpaka vidolen kunabaki kama kulivyo
bg up wema
 
Huyu Chz B anaoenekana kama shoga shoga vile au vipimo vyangu wrong!!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…