Wema Sepetu alipuka tena mtandaoni, awalipua wanaotumia jina lake vibaya

Ahhhh, ingekuwa dm ya instagram sawa, tangu nianze kutumia social networks sijawahi ona account ya wema fb. Anyway napita namm
 
Social media is a fake place.

Faker than a $2 bill.
 
Ni kweli, nshawahi kupata msg ya namna hiyo fb. Nikajua tu kuna watu wanatumia vibaya jina lake
 
Ukiona hivo huyo mjinga anayetumia jina lake vibaya basi ameshawahi kufanikiwa kwenye huo utapeli si unajua kuna mazuzu kibao yakishasikia jina la huyo Wema akili zao hazifanyi kazi.
 
Yeyote mwenye video ya wimbo wa Supu aweke hapa tuburudike. Natanguliza shukrani, jumapili njema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…