Wema Sepetu aliwa Denda Movie Mpya

tasting the whole of bongo fleva -Kanye west 😀
 
Na akilala Bila kunywa uji wa ulezi fimboooooo [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Dah ila haya maisha hata mie nimepitia . mnapigiwa simu kipindi kile za mezani. Mnaulizwa mmekunywa chai, mmelala. Usiku mnataka kula nini. Loh
 
kwan kutokula denda ndo kuendelea kwa sanaa
 
Huyo mwigizaji mwanaume....

Loh.........

Hivi bongo movie hakuna wanaume wa maana???
 
Mganga wa kinywa ni muhimu sana katika hii issue maana midomo mingi imeshamwaga mimate humo.
 
Kuleta ishu ya wema huku ni ujuha, kuna mambo muhimu ya kujadili yenye manufaa kwa jamii sio upuuzi kama huu.
 
Filamu bila uhalisia haziwezi uzika wacheni watu wafanye kazi mataifa mengine yameendelea katika tasnia ya filamu kwa sababu washiriki wake wanauvaa uhusika vilivyo sisi kila siku tutabakia maadili maadili yametusaidia nini hayo maadili mpaka dakika hii..??
 
Kuleta ishu ya wema huku ni ujuha, kuna mambo muhimu ya kujadili yenye manufaa kwa jamii sio upuuzi kama huu.


Mkuu nenda kule kwenye jukwaa la uchumi, watu kama wewe wanahitajika Sana ili mjadili mambo yenye manufaa kwa jamii. Hawa hawatakuelewa hapa, Sana Sana watakukwaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…