Wema Sepetu anakoelekea siko

Nlishindwa kuelewa kabsaaa tako sio tako, furushi co furushi daaaa,aibu sana sio siri, halaf hata walomvalisha hyo nguo hawakuona kama makalio yana milima na mabonde halaf wangemshauri kuvaa nguo nyingine ambayo isingeonyesha hvyo,huyu madam wao Mungu amsaidie tu makalio yataanza kuoza sasa
 
Naona zile silicone zimeaanza kuhama position soon zitafika magotin kwa mwendo huuu.
Chaaajab mwenyewe hana habari kajibana kwenye kigauni weee.....
Ningekua mimi mibano ningeacha maana ukijitazama tuuu mwenyewe unajionea huruma[emoji19] [emoji19]
 
Tanzania hiyo! full kujadili maisha ya mtu binafsi! No job no ability to reason beyond the box
 
Shougah gauni zurije?
Hata mimi nimelipenda sana,ila hiyo shape jamani hadi anatia huruma!
Sijui anajisikiaje!
Magauni hayo yamejaa pale Ndio Fashion Kinondoni studio....150,000/=
Sasa hapo aulizwe bei...utamsikia laki 9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…