Wema ana 'obsession' na matako. Na ukiwa 'obsessed' hauridhiki. Mi nilianza kusikia anatumia mchina 2010 kipindi hicho bado yupo kwenye chati.
Tulienda na rafiki Yangu duka LA urembo LA shangingi mmoja mjini ndio akatutolea kitu imeandikwa 'hip-up cream' akaanza kutupa maelezo kutuconvince. Nikauliza na cancer? Na bado die tunataka kuzaa. Eti ukitaka kupaka, unavaa pedi kila siku ili isiingie kwa kizazi!!!!!
Ndio akatuambia hata Wema anatumia, hamuoni alivyopendeza tako lake!! Ndio kujua kumbe sio lake. Sasa alipoharibu ni kuropoka zaidi wkt tunaendelea kuchati nae. Eti ila hips lake moja lilishuka karibu lianguke ksb anapenda kukalia upande mmoja!!!!! Kwa hiyo tumemshauri awe anapaka upande mmoja kwa kufanya ' massaging' kupeleka juu!!!!!!!!
Yn tuliaga fasta hata mafuta tuliyoenda kuulizia tukahairisha.
Nachotaka kusema ni kuwa effects za mchina zilimuanza Siku nyingi basi. Kwnn hakuacha???? Akaridhika??? Kama sio 'obssession' ni mini sasa huu upuuzi?
Yn kila mtu anajua unatumia mchina hata hainogi. Dahhhh