Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Valentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisomaEti nyie wanaume hayo makalio makubwa hua mnafanyaga nini nayo?
Nimekusoma kaka... Nikajua kuna kitu special ambacho sie flat screen hatunaValentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisoma
Tena flat anavutia zaidi ibadani...tipwi wengi hawajiwezi..dah acha niishia hapa nisijezua tafraniNimekusoma kaka... Nikajua kuna kitu special ambacho sie flat screen hatuna
Nimekusoma kaka... Nikajua kuna kitu special ambacho sie flat screen hatuna
Yaani wanavo tupondeaga hawa wenzio[emoji25]Tena flat anavutia zaidi ibadani...tipwi wengi hawajiwezi..dah acha niishia hapa nisijezua tafrani
Sidhani kama ni tabia njema kumsimanga au kumsemea mbovu mtu kuhusu maumbile yake kwani hakuna aliyechagua kuwa kama alivyo.Yaani wanavo tupondeaga hawa wenzio[emoji25]
yanasaidia kuongeza msisimko kwa mwanaume hasa ukimkuta bi dada anayo siyo ya mchina yamekaa vizuri kwa uwiano na kiuno aisee ni burudani kwenda mbeleValentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisoma
Bora umesema wewe[emoji4]Sidhani kama ni tabia njema kumsimanga au kumsemea mbovu mtu kuhusu maumbile yake kwani hakuna aliyechagua kuwa kama alivyo.
Kwa utafit wangu wengi wenye hii mizigo wanakiburi sana na .
yanasaidia kuongeza msisimko kwa mwanaume hasa ukimkuta bi dada anayo siyo ya mchina yamekaa vizuri kwa uwiano na kiuno aisee ni burudani kwenda mbeleEti nyie wanaume hayo makalio makubwa hua mnafanyaga nini nayo?
Huo mguu sasa, Kama nimemzaa Mie..!Mchina chonde chonde watengenezee na zakuongeza miguu..
Haya[emoji17]yanasaidia kuongeza msisimko kwa mwanaume hasa ukimkuta bi dada anayo siyo ya mchina yamekaa vizuri kwa uwiano na kiuno aisee ni burudani kwenda mbele
Ki ukweli alivyo jiumba kajikosea kweli, hili ndio tatizo la kumkosoa alie kuumba. Tako halieleweki Kama pepo za kaskazi!
Asikuvunje moyo, kama yeye havutiwi na flat kuna wengi wanavutiwa kiasi cha kufaHaya[emoji17]
Kufugia fungas,Hivi tako la nini hasa????
Santee[emoji4]Asikuvunje moyo, kama yeye havutiwi na flat kuna wengi wanavutiwa kiasi cha kufa
Umeonaeee kama mduduTako linatisha
Ww mkulima wa bange umefata nini hukuwanaume na wanawake wa Dar katika ubora wao.
Umenichekesha Sana utasema kandeMatako yake kama uji wenye mabujebuje