Wema Sepetu anakoelekea siko

Eti nyie wanaume hayo makalio makubwa hua mnafanyaga nini nayo?
 
Eti nyie wanaume hayo makalio makubwa hua mnafanyaga nini nayo?
Valentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisoma
 
Valentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisoma
Nimekusoma kaka... Nikajua kuna kitu special ambacho sie flat screen hatuna
 
Yaani wanavo tupondeaga hawa wenzio[emoji25]
Sidhani kama ni tabia njema kumsimanga au kumsemea mbovu mtu kuhusu maumbile yake kwani hakuna aliyechagua kuwa kama alivyo.
Kwa utafit wangu wengi wenye hii mizigo wanakiburi sana na .
 
Valentina, hii kitu hakina msaada zaidi ya mvuto wa macho, so me anaejitambua hii kitu haimsumbui sababu uwapo ibadani haiongezi chochote...ibadani..nadhani umenisoma
yanasaidia kuongeza msisimko kwa mwanaume hasa ukimkuta bi dada anayo siyo ya mchina yamekaa vizuri kwa uwiano na kiuno aisee ni burudani kwenda mbele
 
Sidhani kama ni tabia njema kumsimanga au kumsemea mbovu mtu kuhusu maumbile yake kwani hakuna aliyechagua kuwa kama alivyo.
Kwa utafit wangu wengi wenye hii mizigo wanakiburi sana na .
Bora umesema wewe[emoji4]
 
Eti nyie wanaume hayo makalio makubwa hua mnafanyaga nini nayo?
yanasaidia kuongeza msisimko kwa mwanaume hasa ukimkuta bi dada anayo siyo ya mchina yamekaa vizuri kwa uwiano na kiuno aisee ni burudani kwenda mbele
 
Aya kashalikuza tako,mwanaume wake anafanya nalo nini sasa likiwa kubwa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…