Wema Sepetu anakoelekea siko

Jamani Hata Magari yana single cabin na double cabin
Sasa mwenzetu kaja na double hips
 
Siku Wema akipost picha amevaa bikini aiseee atabreak the internet!!!! Lol

Ila mie siishangai sana shape yake na kumpondea ni kama namuongezea presha dada wa watu mwishowe akatafute madawa mengine tena ndo yamuharibu zaidi kwa msukumo wa kutaka kujifix. Nobody is perfect cha muhimu aachane na hizo michina
 
Nimemuangalia Shose Sinare akiwa mahakamani jana ambae ni miss Tanzania 1996, ukimlinganisha na Wema wa 2006, Shose bado anaonekana ni mrembo na mdogo sana kwa Wema wakati kiuhalisia Wema ndio mdogo, kweli kina dada vibodozi vya mchina vinazeesha, bado unaweza pata maradhi makubwa jambo la heri ni kujikubali ulivyoumbwa na Mungu.
 
ila jamani mbona Jana nimemuona huyu dem yupo poa tu!?
 
ila jamani mbona Jana nimemuona huyu dem yupo poa tu!?

Kweli bana wanamuedit sana madame hao mateam nani cjui!!!!kwa mnaotaka kuona pic zke za juz tu jmos ingia insta pic hzo kpga kwny birthday ya mainda na mmke wema ndo mtamuona vzr hna hipc nne km wanavyomtoa jmn yko poa tu!!afu na penzi limerd tena wema&idris htr!!
 
Hahahaha kujifariji..
Mi sio team yeyote ila macho yangu huez yadanganya.. Msambonye Haujaeditiwa huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…